James Uronu
Senior Member
- Jan 26, 2013
- 161
- 72
Hyo special dedication kwa wanaume wa Dar
Na we unaonekana yule yuleYaani wewe nae waonekana ni Mule Mulee
huyo ni boya ,badala ya kupeleka mke polisi angempeleka hospitali baada ya kuwa ametoa kipigo cha mbwa mwizi ,aje kwetu tarime aone tunavyowapa adabu wake zetu mwanaume ukikooa tu mwanamke anaitikia beeeeHa ha ha yani nyie mlikofikia mnasikitisha
Shost angu, best angu kashtakiwa na mme wake amepelekwa polisi kwenye dawati la jinsia eti kamtukana mme wake.... Serious mwanaume na sharubu kama za paka anaenda polisi kumshtaki mke??? Mke kabisa??? Oooh men...
Evelyn Chumvi: Huyo naye anachekesha kweli. Mbona shortcut zipo nyingi tu. Naomba unipatie namba za huyo dada nimpatanishe na mumewe naona atakuwa na hasira za kupelekwa polisi.Ha ha ha yani nyie mlikofikia mnasikitisha
Shost angu, best angu kashtakiwa na mme wake amepelekwa polisi kwenye dawati la jinsia eti kamtukana mme wake.... Serious mwanaume na sharubu kama za paka anaenda polisi kumshtaki mke??? Mke kabisa??? Oooh men...
Tena ni uchoko plus. Hakuna kitu nachukia kama my au x kwenye s.Mwanaume kumtumia msg mshikaji wako huku umeandika MY ni uboya
Mwanamke kuweka x penye s ni uchoko