Hakuna mwanaume anayeweza kufanya hivi labda awe mwehu,,,nawew kwanin uolewe na mwehu?1.Anakula hotelini vyakula vyenye afya familia inakula ugali kila siku.
2.Anakunywa vinywaji vizuri baridi watoto wanakunywa maji hajali.
3.Anavaa nguo nzuri za bei wanafamilia wanavaa masulupwete.
4.Anashinda kwenye banda la tv mechi nyumbani wanaangalia kuku na mipunda inakimbizana.
5.Siku akila nyumbani anapikiwa ubwabwa peke yake watoto wanachungulia kwenye mstari wa mlango.
6...................
Endeleza mengine.
Hivi watibeli ndio nini?Na hapo ndipo wanaume Watibeli huwa bora siku zote na kimbilio na tegemeo la wanawake
Wayahudi hawana hayo mambo.Hakuna mwanaume wa hivyo. Hiyo itakuwa ni species mpya ya viumbe hai usiifananishe na wanaume.
Hiyo species mmoja wapo ni Maghayo
Filosofia ya wapare wana iingage katika kila sekta za maisha.Hakuna mwanaume wa hivyo. Hiyo itakuwa ni species mpya ya viumbe hai usiifananishe na wanaume.
Hiyo species mmoja wapo ni Maghayo
Single mother wengi sana wanaongoza kwa kuwa na maisha magumu kuliko wanawake walioolewa, msijipe moyokuna wanawake wapo kwenye ndoa lakin kuishi kwao wanalea watoto kwa shida hawana tofauti na sie tuliopo nje uku,,ety kutunza heshima ya kuolewa,,,, Mungu awasaidie🙏🏾
😄😄Labda sjaelewa ugumu upi wa maisha unaosemea,,ebu ongeeni uhalisia bwan acheni kuongea muhim tu mtuseme sie.Single mother wengi sana wanaongoza kwa kuwa na maisha magumu kuliko wanawake walioolewa, msijipe moyo
NA wengi wanategemea wagawe duduz zao kujikimu!Single mother wengi sana wanaongoza kwa kuwa na maisha magumu kuliko wanawake walioolewa, msijipe moyo
Wewe ndo umeongea ujinga ili ujiskie vizuri na hali yako potovu ya kuwa single mother😄😄Labda sjaelewa ugumu upi wa maisha unaosemea,,ebu ongeeni uhalisia bwan acheni kuongea muhim tu mtuseme sie.
usipaniki mkuu au wew ndo ulozalishwa😄😄,,hakuna ujinga apo n uhalisiaWewe ndo umeongea ujinga ili ujiskie vizuri na hali yako potovu ya kuwa single mother
Single mother akili zenu mnazijua wenyeweusipaniki mkuu au wew ndo ulozalishwa😄😄,,hakuna ujinga apo n uhalisia
wala hujakosea,, kwaio usipende kukurupukia comments zetu,, relax.Single mother akili zenu mnazijua wenyewe
Vitu vizuri vimejificha kwenye ubaya.So usifadhaike,hapo anawaimarisha.Usitamani bia/whisky yake,we furahia maji yako unayokunywa.Usivutiwe na vibanda Tv/ vibanda umiza anavyoshinda huko, furahia huo ubize kwenye mabanda ya kuku anakotaka muwe na vibustanini.Hujapoteza usiumie.Utakuja kushukuru1.Anakula hotelini vyakula vyenye afya familia inakula ugali kila siku.
2.Anakunywa vinywaji vizuri baridi watoto wanakunywa maji hajali.
3.Anavaa nguo nzuri za bei wanafamilia wanavaa masulupwete.
4.Anashinda kwenye banda la tv mechi nyumbani wanaangalia kuku na mipunda inakimbizana.
5.Siku akila nyumbani anapikiwa ubwabwa peke yake watoto wanachungulia kwenye mstari wa mlango.
6...................
Endeleza mengine.
Ungemwambia na baba watoto wako relax kabla hajakukimbiawala hujakosea,, kwaio usipende kukurupukia comments zetu,, relax.
Endapo kama unaacha fedha ya kutosha let say 15000/- and then ukirudi unakuta madude ya ajabu, na unakuwa imechoka kupiga kelele hutaki umekwisha mueleza hilo haelewi, why not nisiende kumtembelea rafiki, kumbe naenda kupata menu pendwa?, au utanilaumuje nisiwe na nyumba ndogo?, shida wanawake wakisha olewa, wanaona wamepata tickets ya kukunyanyasa na kukuamulia, huo ndio ujinga wao hasa ukishazaa naye!Hao wa design hiyo washapoteza sifa za uanaume.
Mwanaume wa kweli anahakikisha nyumbani kupo sawa kabla kwenda kutanua nje.