Wanaume hawa hawafai.

Nguva Jike

JF-Expert Member
Jan 22, 2018
1,095
1,465
1.Anakula hotelini vyakula vyenye afya familia inakula ugali kila siku.

2.Anakunywa vinywaji vizuri baridi watoto wanakunywa maji hajali.

3.Anavaa nguo nzuri za bei wanafamilia wanavaa masulupwete.

4.Anashinda kwenye banda la tv mechi nyumbani wanaangalia kuku na mipunda inakimbizana.

5.Siku akila nyumbani anapikiwa ubwabwa peke yake watoto wanachungulia kwenye mstari wa mlango.

6...................

Endeleza mengine.
 
Mwanaume ili aweze kuitunza familia yake vizuri lazima aidhulumu.

Haiwezekani mwanaume kila anachopata alete nyumbani. Kuna wakati mwanaume kile anachopata inabidi ajifurahishe mwenyewe as long as mahitaji ya muhimu yako nyumbani.

Kuna wakati watoto wanatakiw akula ugali maharage huku baba ukiwa umekula wali kuku mtaani.
 
Kila zigo la mavi anapewa mwanaume.
Katika maisha yangu ya kuishi hapa
Duniani,nilijua Wanawake ndio wanaopitia mateso-lakini ukweli ni kuwa Wanaume wanapitia mateso mara 💯 ya Wanawake basi ndio hivyo mifumo ya Dunia haipo upande wetu.
 
1.Anakula hotelini vyakula vyenye afya familia inakula ugali kila siku.

2.Anakunywa vinywaji vizuri baridi watoto wanakunywa maji hajali.

3.Anavaa nguo nzuri za bei wanafamilia wanavaa masulupwete.

4.Anashinda kwenye banda la tv mechi nyumbani wanaangalia kuku na mipunda inakimbizana.

5.Siku akila nyumbani anapikiwa ubwabwa peke yake watoto wanachungulia kwenye mstari wa mlango.

6...................

Endeleza mengine.
Sema mumeo bwege hafai.
Usiwaingize wanaume wengine wenye upendo na kujali katika orodha moja na mumeo asiyejitambua.
 
Back
Top Bottom