Wanaume hatuoi ujinga

Wakivaa madera na kujisitiri hamuwataki mnasema wazee oooh washamba sasa jema lipi kwenu wanaume?
Afu kweli... Wao ndo wanawaharibu wadada. Utakuta msichana anavaa nguo za heshima Ila mkaka kutaka misifa tu kwa wenzake anamshauri avae pushup braz na tight clothes eti aonekane ana demu sexy. Wavaa madelq wanaonekana old fashioned. Nyie ndo vyanzo vya yote hata.
 
suala la ndoa halijawahi na halitowahi kuwa jepesi wakuu.....kuchagua mwenzi wa maisha inabidi mtu atulie ati! na mie nadhan hilo pande zote wanalijua hili ni maisha na shida za ulimwengu huu zilizoleta haya yote
 
suala la ndoa halijawahi na halitowahi kuwa jepesi wakuu.....kuchagua mwenzi wa maisha inabidi mtu atulie ati! na mie nadhan hilo pande zote wanalijua hili ni maisha na shida za ulimwengu huu zilizoleta haya yote
suala la ndoa halijawahi na halitowahi kuwa jepesi wakuu.....kuchagua mwenzi wa maisha inabidi mtu atulie ati! na mie nadhan hilo pande zote wanalijua hili ni maisha na shida za ulimwengu huu zilizoleta haya yote
Mnafanya ujinga alafu mnasingizia Shida, Endeleeni tu,
 
Sawa, hata sie hatuolewi na wajinga
tena nyinyi ndo msiongee kabisaa... Deile tunawaona mkiolewa na walevi wa gongo wasio na future na mnachoambulia ni kudhalilishwa tu... Mammae shida,
dhiki ni mwanaharamu
 
Wakivaa madera na kujisitiri hamuwataki mnasema wazee oooh washamba sasa jema lipi kwenu wanaume?
Yaani mimi ugonjwa wangu ndo huo. Binti akizama kwenye Dera, kudadadeki nafika bei
 
Mmmh mkuu huko wanakooga wake kwa waume pamoja ina maana hata hizo vocha hazifunikwi mkuu
Vocha ni ile sehemu ya kukwangua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…