Wanaume hatuoi ujinga


Ngalikihinja hao wanajitangaza katika namna ya kwanza wako kibiashara zaidi!
Ikitokea muoaji anayependezwa na sifa za kibiashara pia nae haachwi!

Namna ya pili ni kwa wale wasio kibiashara, waliolelewa kimaadili na waliotayari kuingia ktk maisha ya ndoa!
 
Bado hatuoi ujinga sijui kama umemuelewa mtoa maada
 
Toa mfano tofauti na hao models
 
Toa mfano tofauti na hao models
Kwani hao sio wanawake? Unavyodhani hao matendo yao hayakuwachefua wanaume vihiyo kama hawa wanaoongea Mbofu mbofu? Nikikutajia chakubimbi wa mtaan kwetu utamjua? Mifano hutolewa kwa watu wanaojulikana Modester Mahiga si Model ni mwanamke kama alivyo mwanamke mwingine yeyote Tanzania
 
Bado hatuoi ujinga sijui kama umemuelewa mtoa maada
Only Bright man ndo watajua watazingatia nini kwenye kuchagua mke! Na watafanya nn kuwafanya wake zao au Girlfriend zao waishi sambamba na maadili ayatakayo
 
Modester mahiga umeshawahi kuwa na ukaribu nae ata kidogo unajua alipokulia au mbwembwe hahaha hatuoai ujinga
 
Only Bright man ndo watajua watazingatia nini kwenye kuchagua mke! Na watafanya nn kuwafanya wake zao au Girlfriend zao waishi sambamba na maadili ayatakayo
Kweli ndio mana ata wewe hukuwai kuanika matiti yako wala nyeti zako
 
Modester mahiga umeshawahi kuwa na ukaribu nae ata kidogo unajua alipokulia au mbwembwe hahaha hatuoai ujinga
Mbwe mbwe za mama yako! Mwanamke shurti awe na mbwembwe mkuu,,Modester nilimfahamu kwa kumuona kama unavyomuona wewe, na ikiwa kumuona kwangu kwenye public ndipo kulipata nguvu ya kujua kuna WANAUME na viwanaume uchwara ambavyo wao suala La kuponda mwanamke ni jambo la kuamua tu kama muanzishaji wa uzi huu hajawahi ona mema ya wanawake katika thread zake karibu zote
 
S

Samahani wewe ni ke au me?
 
Kama haukuamua kubadilika basi hata ashushwe malaika gabrieli bado tu utakengeuka, Wanawake wajinga hatuwataki sisi
 
mnaoa sana tu ndo maana huo ujinga hauishi! bidhaa isiyo na soko hutiweka sokoni ila kwa hili wanaoa tena mno! ni kama madawa ya kulevya yanatumika ndo maana hayaishi sokoni
Bidhaa zinazobakia sokoni kwa muda mrefu bila kununulia ujue ni mbovuuuu, Bidhaa nzima huzikuti zikidhalilika,
Umeskia???
 
Watanyooka tu.
Na tutawamega sawasawa na mavirusi yani ni full mafujo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…