Wanaume hatuoi ujinga

Wanaume hatuoi ujinga

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,077
Reaction score
17,260
Mwanaume akikusifia kwa kutembea nyonyo nje, nyie mnaita boobs na makalio yakishika nguo uliyovaa ukisema unaenda na wakati huwa na nia
moja tu, KUKUMEGA, KUKUCHAPA, na KUKUSHIKISHA ADABU KITANDANI, na Sifa zitaishia hapo.

Hakuna mwanaume SIRIAZ anayeweza kukubali kuoa mwanamke asiye SIRIAZ. Mwanamke anayeweza kuacha nje MALI ambazo ni FAHARI ya mumewe zionwe na kila Mwanaume. Nionyeshe Mwanamke mwenye tabia hizi za Hovyo aliyeolewa na Mwanaume Serious.

Wanaume sio wajinga kama wanavyoonekana usoni. Mpaka akupe Pete yake lazima awe na uhakika Level ya Ujinga kwenye akili yako ni Ziro maana anaoa KIONGOZI WA FAMILIA na sio Muuza mwili.

SHKAMOONI WOTE MNAO-BOOST NYONYO NA KUBANA KALIO, Kumegwa na kuachwa kwako ni GUARANTEE... Hatuoi Ujinga!
 
Biashara ni matangazo vinginevyo biashara itawadodea!
 
Issue hapa ni, wanaume wengi tunatamani kwanza, then kupenda kunakuja baadae. Sasa kwenye kutamani huko, ndiyo tunajikuta tunasifia hata pasipohitajika kusifiwa.

Mwanamke siyo avae Dela ama Baibui ndiyo apate wa kumtamkia ndoa, kuna mavazi mengi sana ya kusitiri sehemu muhimu za mwanamke, na ikumbukwe hata hayo madera na mabaibui, yapo mepesi na mazito, mepesi tena wanayabana kidizaini, na bado sehemu nyeti hasa kwa nyuma zitaonekana tu. Ni sisi wanaume kuamua tunataka nini, ili ndoa iwepo.

Ila la kushangaza, bado kuna makabila duniani, wanafunika sehemu chache tu za mwili, zengine zote wazi, na bado wanaoana. Mfano, mikoa yenye kujaliwa kuwa na maziwa (maji), hasa wilayani huko, bado wanaume wanaoga karibu kabisa na wanawake, na maisha yanasonga. Wewe ukifika oga uondoke. Ukifika huko wewe uliyekulia mijini, utajikuta una hati hati ya kubaka, wenyeji watakushangaa tu jinsi unvyohangaika.

Ila cha muhimu, ni wote kuamua nini mnataka, na taasisi yenu ya ndoa mtataka iweje.

Ahsante!
 
Hivi ulishawahi kujiuliza kama mimi ninavyojiuliza! Kwa namna tunavyosoma vitabu vya dini na historia zake (dini zote), tunaaminishwa ya kuwa wanawake walikuwa wanavaa nguo za kuwafunika sana, yaani hata kuuona upaja hauwezi (ukiacha wale malaya waliokuwa wanaelezewa namna wanavyovaa na kusimama njia panda kujiuza, japo haielezewi wanavaa nusu uchi, ila manukato yao kwa sana), wenyewe waliwajua.

Sasa kwa utangulizi huo hapo juu, utapata picha ya kuwa, wanaume tumeumbwa kutamani kwanza na kupenda kunafuatia.

Sasa ninachojiuliza ni, pale Yesu, alipowaambia enzi hizo wafuasi na wengine wale '....... Bali yeyote amtazamaye mwanamke na kumtamani, ameshazini naye....' Mathayo 5:27-28

hebu oneni sasa namna gani kutamani kulivyo, yaani hata avae dela zito ama baibui zito, bado tu wanaume kutamani kunaanza kwanza, maana usipomuoa shepu, utamuona sura ama nywele, na ndiyo maana wanawake wameambiwa wajisitiri na hata nywele wasiziache wazi.

Hivi miaka ile kulikuwa na vimini kweli?! Hapo unapata picha pana, na ndiyo maana hadi leo vitabu vitakatifu vina nguvu bado.

Hivyo narudia tena, mkiamua kuoana, muangalie vipaumbele vyenu kwanza kabla hamjaingia kwenye taasisi hiyo.

Ahsante!
 
  • Thanks
Reactions: THT
Umesikika mkuu.
Shukrani
Wakivaa madera na kujisitiri hamuwataki mnasema wazee oooh washamba sasa jema lipi kwenu wanaume?
Nani alosema hampendi demu aliyejistiri??? Kwani hamuwaoni wanawake wanaofuata misingi ya ile dini jinsi wanavyokuwa wazuri??? Au nyinyi mnadhani uzuri ni kutuvalia wigi ?
 
Issue hapa ni, wanaume wengi tunatamani kwanza, then kupenda kunakuja baadae. Sasa kwenye kutamani huko, ndiyo tunajikuta tunasifia hata pasipohitajika kusifiwa.

Mwanamke siyo avae Dela ama Baibui ndiyo apate wa kumtamkia ndoa, kuna mavazi mengi sana ya kusitiri sehemu muhimu za mwanamke, na ikumbukwe hata hayo madera na mabaibui, yapo mepesi na mazito, mepesi tena wanayabana kidizaini, na bado sehemu nyeti hasa kwa nyuma zitaonekana tu. Ni sisi wanaume kuamua tunataka nini, ili ndoa iwepo.

Ila la kushangaza, bado kuna makabila duniani, wanafunika sehemu chache tu za mwili, zengine zote wazi, na bado wanaoana. Mfano, mikoa yenye kujaliwa kuwa na maziwa (maji), hasa wilayani huko, bado wanaume wanaoga karibu kabisa na wanawake, na maisha yanasonga. Wewe ukifika oga uondoke. Ukifika huko wewe uliyekulia mijini, utajikuta una hati hati ya kubaka, wenyeji watakushangaa tu jinsi unvyohangaika.

Ila cha muhimu, ni wote kuamua nini mnataka, na taasisi yenu ya ndoa mtataka iweje.

Ahsante!
mkuu. Unacho ongea nu ukweli kabisa, nilitembelea mikoa kadha wa kadha nilijionea Maajabu ya Mussa.

Hasa mkoa wa Tanga na Ukerewe, wanawake na wanaume uoga na utazamana Bila taabu kabisa.

Sasa wewe mgeni ukipita hapo wala hawatikisiki kabisa, wewe ndiyo utaanza kujichanganya kutazama na kuwaka tamaa, wenyeji hawana Time maana kwao wameshazoea.
 
Wallah umelonga kijana...

Sio nyonyo tu na kalio , na wale mademu wa kujichubua pia...
 
Back
Top Bottom