Wanaume halisi hawafanyi haya

Wanaume halisi hawafanyi haya

Mbona hujaongelea suala la muhimu zaidi linaloutambulisha uanaume - yaani zile nguvu za kuwahudumia jinsia pinzani?
 
A real Man doesn’t hesitate when he finds the
right woman

a real man drink beer.
 
mwanaume halic haandiki XAXA badala ya SASA

havai mashati ya VITENGE au MAKENZIE

hakimbii majukum ana msimamo na anatatua matatizo ya familia yake yy mwenyewe

anahofu na MUNGU

havai nguo za midosho midosho

huwa hakasiliki hovyo,hanuni,wala kuzila

anajieshimu na kueshimu wengine.anajua alikotoka na anakoenda

ni msafi na hajirembi rembi.na anavaa kulingana nawakati na sehem husika

ni RIJALI na akikojoa lazima ajambe kuzihilisha ulijal wake

ana mpenz mmoja na anamueshim na kumpenda

anatoa dozi ya ukwl kitandani

hayo ni baadhi tuu
 
Anayejua wajibu wake kwa ke wake,anayependa wakati akisubiri utii toka kwa mwenzi wake....
 
mwanaume halic haandiki XAXA badala ya SASA

havai mashati ya VITENGE au MAKENZIE

hakimbii majukum ana msimamo na anatatua matatizo ya familia yake yy mwenyewe

anahofu na MUNGU

havai nguo za midosho midosho

huwa hakasiliki hovyo,hanuni,wala kuzila

anajieshimu na kueshimu wengine.anajua alikotoka na anakoenda

ni msafi na hajirembi rembi.na anavaa kulingana nawakati na sehem husika

ni RIJALI na akikojoa lazima ajambe kuzihilisha ulijal wake


ana mpenz mmoja na anamueshim na kumpenda

anatoa dozi ya ukwl kitandani

hayo ni baadhi tuu

kama wewe kila ukikojoa unajamba utakua una matatizo ya tumbo
 
Hayo mawazo yako tu. Mwanaume halisi ni yule anayetekeleza majukumu yake yakila siku na familia yake na si tegemezi. Full stop mambo mengine tabia tu
 
Mashoga wa Ulaya,Asia na nchi nyingi duniani

1.Hayo maneno uliyoyasema hawayatumii (may b kwavile hawajui Kiswahili) ila pia cdhani kama wanatumia kwa lugha zao

2.Wanajishughulisha na biashara zao na sio watu wanaopenda kuhongwa

3.Masaa mawili bafuni?? Cdhan hata wanawake kama wanatumua huu muda bafuni.Swala la kujipodoa kwa men hata mm nalipinga

4.Mm binafsi cpendi aina hii ya mziki (taarab),ila cwezi kuwahukumu 100% wale wanaoupenda na kuwaita mashoga,kwa maana hata wale tunaopenda kuckiliza Hip Hop na Mnanda zaman tulikuwa tunaitwa mateja na wavuta bangi kitu ambacho sio cha kweli ( may b walikuwa wanaangalia mazingira ya waimbaji).

5.Chips mayai,chips kuku favorate food?? Hell no,men can't depend on that things as a meal.Ila unaposema mwanaume kamili hawezi kuagiza fanta orange au passion mbele ya dem bora aagize maji,WTF,if u are a real man stop pretending,real mens don't pretend,do your things broh if u like fanta passion/orange,order it even if u are surrounded by milions of chicks.Ukijifanya kuagiza vodka huonekane mtabe wakat sio,UTAUMBUKA.

6.Real men can't say "nimeshindwa"?.Broh hapa pia nakataa,kuna mipaka yake aisee,huwezi ukafosi ufanikishe kila kitu hata kama kipo nje ya uwezo wako.Jamii Forum kuna hadi watoto wa shule humu ndani,sasa ukiwaambie wakomae kufanikisha hadi vitu vilivyo nje ya uwezo wao (kisa tu wanavifanya kwa ajili ya madem) utasababisha watumie kila njia ili vitiki,matokeo yake nadhan unayajua.

7.Sure mkuu we don't need to fight our wives/girlfriends.

8.Real mens hate gays,ila pia hata girls/women hate gays..the whole society hate gays.

NB:
Ila mkuu pia naomba niseme hivi,kuwa mkakamavu ni jambo muhimu sana kwa mwanaume,but halimfanyi mtu ndio awe mwanaume halisi.Maana nishawahi kukutana na shoga ana six packs,wapo mashoga yanayobeba nondo na kufanya shughuli nzito nzito,pia mishoga mingine inapenda Hip Hop balaa.

MWANAUME HALISI NI YULE AMBAE VICHWA VYAKE VYOTE VIWILI VINAPIGA MZIGO IPASAVYO NA HAPUMULIWI KISOGONI NA MWANAUME MWENZIE


#Analyse .
 
mke wake anamwita mme wangu na siyo baba fulani.
 
Ni anayetekeleza majukumu yake kiufasaha ya kifamilia. Pili hapendi mademu ma omba omba.
 
topic zingine aisee, ukisha waza huko unaleta pumba zako hapa. Anyway ni uhuru wa mawazo.
Inamaana wanao kaa chooni mda mrefu tutasemaje? Au wanao kula taratibu nao utawazungumziaje!
Swala la maneno au lugha, ni vitu vya kupita na wanaume wengine hulitumia akiwa anajoke na wasichana na haiwezi
ikawa sababu ya kudevalue. Kukaa bafuni au kujiandaa mda mrefu sometimes inatokana na usharp wa mtu
kunawanaume wapo fasta na wengine action zao ni slow.
Kuhusu kupenda chakula, unaweza ukawa husemi kama unapenda chips au kuku lakini ukawa unapenda kuvila. sasa mtu akisema kuna ubaya gani au kwasababu wanawake wanapenda? Kile ni chakula kama una ushauri wowote kiafya ni bora ukawashauri wanaume. sio kila kinacho pendwa kufanywa, kusemwa, au kuguswa na wanawake ni kibaya kwa wanaume
Yani unamaana tusitumie soda za kopo, fanta, popcon, icecream n.k kwakuwa vinapendwa na wanawake, hayo ni mawazo yako.
Km havipunguzi nguvu za kiume, tumia. Unaweza ukawa kauzu kiac hicho unachosema wewe na bado kupiga pumbu ukawa mchovu vile vile. Wakongoman wanajipodoa na wakezenu wanawachapia kila cku. Achana na hizo mila na fikra za vijiweni, waza uhalisia wa mambo yanavyokwenda hapa duniani. Maisha hayana kanuni ambazo utaweza washawishi watu wazifwate.
 
Kuna jamaa humu anaitwa bujibuji avator yake inafanana na comment zake!
 
Hapo pa kuhongwa ni homa ya taifa yani 90% wanapenda kuhongwa. shame on uuuu mnaopenda vya bwerere..... mwisho wa cku mtapewa mimba na madem/wake zenu.
 
mwanaume wa kweli ni yule anaetimiza majukumu yake ya kitandani na ya kupatia mahitaj familia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom