Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,346
- 9,881
-Mwanaume halisi dudu linasimama fasta, sio mpaka lipigwe jeki, akiona juu goti tu tayari, mnara unasoma
-mwanaume wa kweli ana mwili mgumu, sio legelege kama demu.
-mwanaume halisi anapambana na hali yake bila kukata tamaa, mpaka kieleweke
-mwanaume halisi haongei ovyo ovyo kama demu, muda mwingi ameuchuna anasikiliza au anatafakari maisha yake.
-mwanaume halisi ni baba, na ni kiongozi wa familia yake, anaetekeleza majukumu ya kuhudumia familia yake kila kitu.
-mwanaume halisi anamheshimu na kumpenda mke/mwanamke wake kuliko wengine wote!
-mwanaume wa kweli ana mwili mgumu, sio legelege kama demu.
-mwanaume halisi anapambana na hali yake bila kukata tamaa, mpaka kieleweke
-mwanaume halisi haongei ovyo ovyo kama demu, muda mwingi ameuchuna anasikiliza au anatafakari maisha yake.
-mwanaume halisi ni baba, na ni kiongozi wa familia yake, anaetekeleza majukumu ya kuhudumia familia yake kila kitu.
-mwanaume halisi anamheshimu na kumpenda mke/mwanamke wake kuliko wengine wote!