Wanaume halisi hawafanyi haya

Wanaume halisi hawafanyi haya

Kweli karne hii kuwa mwanaume ni kazi! Kila kukicha kunaletwa vigezo vipya!!! Me naishi nitakavyo mradi simchukizi Mungu.
 
Kuna mwanaume jirani hapa amehamia kwa girlfriend Wake Sasa bidada ana Kazi mwanaume Hana Kazi,mwanaume anabaki nyumbani kaz yake kumpikia bidada chapat, Mara afungue zote Hadi za bidada, Mara adeki, jamani wanaume Wa siku hizi acheni kujiaibisha tafteni pesa kwanza, dezo mbaya
 
Kweli karne hii kuwa mwanaume ni kazi! Kila kukicha kunaletwa vigezo vipya!!! Me naishi nitakavyo mradi simchukizi Mungu.

Ukiwa mwanaume jitahdi Uwe kichwa cha familia na sio kutegea tegea pesa ya mwanamke, unajiweka weka nyuma mwanamke ndo afanye kila kitu,wanaume Wa siku hizi wengi mnadharaulika sana
 
Mwanaume wa kweli ukiingia bar ni kuagiza viroba na pombe ngumu sio heineken,windhoek wala castle light🙈🙈🙈
 
Ukiwa mwanaume jitahdi Uwe kichwa cha familia na sio kutegea tegea pesa ya mwanamke, unajiweka weka nyuma mwanamke ndo afanye kila kitu,wanaume Wa siku hizi wengi mnadharaulika sana

Mna??? 😱Niondoe huko kwenye kundi! Who are you to judge me? You don't know me! So you don't have the right to judge me!!!😡:thumbdown:
 
Havai mlegezo
havai modo/vichupa utadhani nguo ya mdogo wake wa kike.
havirembi kwa kuvaa hereni au kutoboa masikio.
hajisifu kwa kutongoza madem wengi .
hali pipi kijiti tena barabarani.
hajipulizii pafyumu sana mpaka inakuwa kero... kama kuna ulazima basi kidogo tu inatosha sio mtu mita tano harufu ya pafyumu inakufikia.
hasuki nyele.
hanyoi viduku.
 
Akiwa anaandika sms..hatumii emoticons za ajabu ajabu mf. Blushing (smile na vishavu vyekundu) in short emoticons zote zenye rangi nyekundu kwenye vishavu kidume ukitumia unazingua, au kucheka hadi unatoa machozi...ni drama hizo ..afu drama ni mambo ya wadada...dume zima utachekaje hadi utoe machozi afu ukute kitu chenyewe hakichekeshi sana wala nn
 
Mna??? 😱Niondoe huko kwenye kundi! Who are you to judge me? You don't know me! So you don't have the right to judge me!!!😡:thumbdown:

Nilikuwa narusha jiwe, aliepiga kelele ndie limempata, kwaheri
 
Akiwa anaandika sms..hatumii emoticons za ajabu ajabu mf. Blushing (smile na vishavu vyekundu) in short emoticons zote zenye rangi nyekundu kwenye vishavu kidume ukitumia unazingua, au kucheka hadi unatoa machozi...ni drama hizo ..afu drama ni mambo ya wadada...dume zima utachekaje hadi utoe machozi afu ukute kitu chenyewe hakichekeshi sana wala nn

😂 umenichekesha sana
 
-Anajua sehem ya r na
mfano. Badala ya kusema Bulundi,aseme Burundi, Pielle,aseme Pierre.
-hana maneno mengi
-hatumii maneno kama, NIMEMCHAMBA mpk bas,jaman,
-si tepepepe.
-msimamo
 
Nilikuwa sijui kuwa fanta ni soda ya mashoga. makubwa.
 
havai mlegezo
Havai modo/vichupa utadhani nguo ya mdogo wake wa kike.
havirembi kwa kuvaa hereni au kutoboa masikio.
hajisifu kwa kutongoza madem wengi .
hali pipi kijiti tena barabarani.
hajipulizii pafyumu sana mpaka inakuwa kero... kama kuna ulazima basi kidogo tu inatosha sio mtu mita tano harufu ya pafyumu inakufikia.
hasuki nyele.
hanyoi viduku.

Kweli mkuu
 
Akiwa anaandika sms..hatumii emoticons za ajabu ajabu mf. Blushing (smile na vishavu vyekundu) in short emoticons zote zenye rangi nyekundu kwenye vishavu kidume ukitumia unazingua, au kucheka hadi unatoa machozi...ni drama hizo ..afu drama ni mambo ya wadada...dume zima utachekaje hadi utoe machozi afu ukute kitu chenyewe hakichekeshi sana wala nn

Wengine wanalazimishaga kucheka tu sijui ndio swaggz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom