Wanaume halisi hawafanyi haya

Wanaume halisi hawafanyi haya

-Anajua sehem ya r na
mfano. Badala ya kusema Bulundi,aseme Burundi, Pielle,aseme Pierre.
-hana maneno mengi
-hatumii maneno kama, NIMEMCHAMBA mpk bas,jaman,
-si tepepepe.
-msimamo

Big up mkuu
 
Haangalii tamthiliya za kifilipino na kuhadithiana.
 
Tofautisheni sifa za wanaume na wagumu. Naona wengi mnatoa sifa za wagumu tu. Ambao binafsi nawaona ni watu wasio jitambua na wenye maisha ya hovyo.
 
Asiwe mchawi au kutegemea waganga wa kienyeji.
 
ana mtarimbo wa ukwel wa kumridhisha mwanamke sio kibamia.

anaweza ku handle familia yake kifedha na nidhamu ktk familia.

anayetoa pesa kwa kufikiri sio kugawa kwa mwanamke kama njugu.

anayependa mwanamke ajishughulishe sio akae nyumban kama house girl et kisa wivu.
 
hanyanyui vyuma kupata kifua uku hana kaz wala pesa analishwa.

ashind kijiweni asubuh had jion na kula kwa mama au mkewe.

haend sokon yeye mwenyewe anamwachia mkewe pesa afanye matumiz mwentewe.

limwanaume lizima linatumia neno waaaaao. wooow. jamaniiii poyeee. maneno ya kike.

hatambi mtaan na gar la mkewe au la home kwao wakat hawez kutafta lake.

hajisifii kalala na wadada wengi au yeye ni handsome.
 
Tofautisheni sifa za wanaume na wagumu. Naona wengi mnatoa sifa za wagumu tu. Ambao binafsi nawaona ni watu wasio jitambua na wenye maisha ya hovyo.

Wanaume ni wagumu na Wanawake ndio Walaini.
 
ana mtarimbo wa ukwel wa kumridhisha mwanamke sio kibamia.

anaweza ku handle familia yake kifedha na nidhamu ktk familia.

anayetoa pesa kwa kufikiri sio kugawa kwa mwanamke kama njugu.

anayependa mwanamke ajishughulishe sio akae nyumban kama house girl et kisa wivu.

Maneno yenye ukweli mtupu haya
 
Mwanaume halali njaa

Mwanaume wa ukweli hapelekeshwi na demu/mchumba au mke wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom