Gazaniga
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 1,051
- 360
Habarini wadau,
Mwanaume anayejitambua hayafanyi haya yafuatayo:-
-Kwanza hatumii maneno haya Mie, Aibu naona mimi, Nimekumisije, haloo, jamani, Inahuu, Chezea...na mengine ya hivyo
-Hafurahii kuongwa au kulishwa na mwanamke
-Hakai masaa mawili bafuni na wala hajipodoi kama wakike
- Hapendi taarabu kuliko aina zingine za musics
-Hawezi kusema chakula anachopenda zaidi ni Chips mayai,Chips kuku, na kupenda vichokolate na Vannila.Na hawezi kuagiza fanta orange au passion mbele ya wanawake,bora aagize maji kama sii mlevi
-Hata siku moja hawezi kusema neno "Nimeshindwa" na badala yake anasema"Nitalishuhulikia hili" especcially kwa mwanamke
-Hagombani na mke kwa kupigana naye au kurushiana maneno (ni aibu)
-Anachukia kutoka rohoni Ushoga na hawezi kuwa karibu na shoga.
Ongezea lingine japo moja....
Mwanaume anayejitambua hayafanyi haya yafuatayo:-
-Kwanza hatumii maneno haya Mie, Aibu naona mimi, Nimekumisije, haloo, jamani, Inahuu, Chezea...na mengine ya hivyo
-Hafurahii kuongwa au kulishwa na mwanamke
-Hakai masaa mawili bafuni na wala hajipodoi kama wakike
- Hapendi taarabu kuliko aina zingine za musics
-Hawezi kusema chakula anachopenda zaidi ni Chips mayai,Chips kuku, na kupenda vichokolate na Vannila.Na hawezi kuagiza fanta orange au passion mbele ya wanawake,bora aagize maji kama sii mlevi
-Hata siku moja hawezi kusema neno "Nimeshindwa" na badala yake anasema"Nitalishuhulikia hili" especcially kwa mwanamke
-Hagombani na mke kwa kupigana naye au kurushiana maneno (ni aibu)
-Anachukia kutoka rohoni Ushoga na hawezi kuwa karibu na shoga.
Ongezea lingine japo moja....