Wanaume fungukeni hapa

HARMER

New Member
Oct 3, 2012
3
0
Hivi kwanini linapokuja swala la kuoana huwa hamjiamini?mnakimbia majukumu?hauamini kama mwanamke uliyenae ni sahihi wakati kila siku uko naye?au kuoa ni kuwa na pesa nyingi?kwanini hamjiamini linapokuja swala la ndoa?emu tujuzeni leo waheshimiwa maana mi huwa sipati jibu la swali hilo.......
 
Hivi kwanini linapokuja swala la ndoa huwa hamjiamini?je mnaogopa majukumu?unahisi uliyenaye sio chaguo sahihi la kuwa mkeo?au kuoa mpaka muwe na pesa nyingi?tatizo liko wapi mpaka wengi wenu mnakimbia mdoa?
 
kwanza kabisa umuhimu wa kuoa umepungua kwa sababu wanawake wangawa K kama karanga.
pili wanawake ambao ni marriage material wapo wchache sana
tatu bila pesa hupati mke maana wazazi wa goma watakuuliza una nini na una kazi gani?
 
Kubwa sana naliona lipo kwa upande wa hela kama huna ilo ndo linalokuogopesha apo nikiowa anaweza akaliwa na wenye nazo au nikiowa nta mlisha nini yan apo tu kwenye pesa bas ndo pana mzizi wa fitina .
 
kwahyo weye waoa kwasababu ya k peke yake? Unamatatizo ktk ubongo wako!
 
  • Waweza kuwa na mpenzi lakini asiwe wife material
  • Yawezekana bado muda wangu niliopanga kuoa haujafika
  • Sijaridhishwa na Tabia za mwanamke husika
  • sijampenda
 
wee tulizana watu wanaoa because they seek intimacy and sex is the ultimate form intimacy. wewe kama wadhani K kitu kidogo mbona wazee wakinyimwa unyumba wanakuja juu?
 
Hivi kwanini linapokuja swala la kuoana huwa hamjiamini?mnakimbia majukumu?hauamini kama mwanamke uliyenae ni sahihi wakati kila siku uko naye?au kuoa ni kuwa na pesa nyingi?kwanini hamjiamini linapokuja swala la ndoa?emu tujuzeni leo waheshimiwa maana mi huwa sipati jibu la swali hilo.......

Umekimbiwa tayari Imekula aaahaaa aaahaaa ahaaaa kwanini unampa mtu game za mchangani kabla??? yaani ni hivi huwa tunajiuliza unafuga ng'ombe wa nini wakati unapata maziwa kila siku? na kufuga ng'ombe ni gharama??? nadhani umeelewa
 
Tatizo ni nyie wanawake cku hizi hamuaminiki mkishaolewa tu huwa mnabadilika na mkiona mtu kayumba kiuchumi ndo usiseme so tunachukua tym kuwasoma thats why suala la ndoa huwa linakwepwa
 
Tatizo tunaogopa siku ya harusi ndo utaona watoto wakali zaidi. Mguu wa ukwee, chuchu za sita, kiuno balaa, hasa kipindi kile cha cheers na zawadi.
 
Simple ni kuwa yule niliyenaye hana hadhi ya kuwa wife material
 
Back
Top Bottom