BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
Minor Mkuu, not yet in the age of Majority.
Umri wako kabla sijakushauri chochote
Umri wako kabla sijakushauri chochote
Ndio mana mdogo wangu kila siku tunasema mnaanza kupungua.Nimejizuia nisikutukane na hatimae nimeweza Ahsante Mungu.
Eee Mungu msaidie huyu mvulana akikua awe tofauti na kama kweli ni mwanaume kamili basi eee Muumba mpe ile akili ya kiuwanaume ambayo mwenyewe uliibariki na kuiita kichwa Cha Nyumba.
Na kweli asee.Ndio mana mdogo wangu kila siku tunasema mnaanza kupungua.
Huyo demu ni kum@m@ke mpotezeeNina Uhusiano na Bint Mmoja takriban miez mitatu nampenda lakin anadharau huwa ni mtu asiyejal hata kama nikiwa naumwa yeye anajal yake ila yeye akiumwa ss unaeza sema umegeuka house girl....Ila alichonifanyia Leo nimechukia sana alaniambia anaumwa yuko nyumban akiniomba nimpeleke matunda nikafungasha kama ya Ten nilipofika karibu na kwao nikampigia simu njoo chukua mzigo wako ili na mim nisepe akasema anaumwa sana nimpigie rafiki yake aje amchukulie mana yey anaumwa sana nikampigia bahati mby nikamkosa rafik yake nikaomchek nikamwambia toka tu uchukue niendelee na mambo yangu mengine akasema anaumwa sana ikabid niondoke mana mvua ilikuwa inanyesha hamad nikakutana na rafik yake nikamuliza Fulan anaumwa kiasi kwamba awez toka?akaniambia mbona anatoka vzr tu nikampa mfuko nikarud nyumban ghafla ananipigia simu ety nipo sehemu fulan njoo nione nikamwambia nimekuja hadi kwenu ajatoka saiv nije kufuata nin uko....iv ni wanawake wote wako ivyo????
Ile shikamoo yangu vipi mana unavyouchuna kama sio wewe.Na kweli asee.
Hatupungui bhana, kabla hujawa mwanaume lazima uwe mvulana kwanza, kwa umri wake bado yuko kwenye uvulana, atapapita tu ni suala la muda.Ndio mana mdogo wangu kila siku tunasema mnaanza kupungua.
Lakini ukumbuke siku zote tabia huwa zinaanzia chini ikiwa kwenye uvulana yuko hivyo unadhani akifikia kwenye uanaume itakuwaje.Hatupungui bhana, kabla hujawa mwanaume lazima uwe mvulana kwanza, kwa umri wake bado yuko kwenye uvulana, atapapita tu ni suala la muda.
Sasa ungenikumbusha mapemaIle shikamoo yangu vipi mana unavyouchuna kama sio wewe.
Ndio mana Mimi nimemuombea kwa Mungu na ikimpendeza atambadilisha.Lakini ukumbuke siku zote tabia huwa zinaanzia chini ikiwa kwenye uvulana yuko hivyo unadhani akifikia kwenye uanaume itakuwaje.
Hawezi kubadilika huyo.
Wacha weeSasa ungenikumbusha mapema
Inabidi mzidishe maombi aisee mana bila hivyo atakuwa ni katika watakaopungua.Ndio mana Mimi nimemuombea kwa Mungu na ikimpendeza atambadilisha.