Uchunguzi uliofanywa hivi karibuni na jopo la wataalamu wa ladha na utamu wa tunda la kati.
Umebainisha kuwa hakuna shoti kati katika kumbakisha mywife wako zaidi ya kujituma kwenye kazi ili ujiongezee kipato na uweze kumtunza vyema mywife wako kwa kumtimizia mahitaji yake yote( yakiwemo mambo yetu yaleeee).
Nawasilisha.
Aisee wewe kiumbe upo dunia hii hii....??mkuu buana [emoji4] [emoji4]
Umenifundisha kitu....asante Kasinde......ngoja nilifanyie kazi....Hivyo ulivyovisema ongezea na mali kauli yaani nyama ya ulimi yaani ujue kuongea kwa kubembeleza na kwa mahaba na mkeo, ujue kutaniana na mkeo ili wakati wa kuongea mambo ya maana au yanayohitaji umakini anakuwa makini kweli.
Nyama ya ulimi tamu sanaa hasa kwenye simu...... ile sauti ilee.... ukicheka sasa........... halafu itumie hiyo kubembelezea......... utafika hadi ikulu ya lyabambashi............😛😉🙂
Mie kashajua napenda nyama ya ulimi basi nashibajeee
Hahahaaaaa! Mbona matumaini kwakweli.Wewe ni miongoni mwa watu wanaoishi kwa matumaini....
Haaa!! UmetishaaaUchunguzi uliofanywa hivi karibuni na jopo la wataalamu wa ladha na utamu wa tunda la kati.
Umebainisha kuwa hakuna shoti kati katika kumbakisha mywife wako zaidi ya kujituma kwenye kazi ili ujiongezee kipato na uweze kumtunza vyema mywife wako kwa kumtimizia mahitaji yake yote( yakiwemo mambo yetu yaleeee).
Nawasilisha.
da shemeji........Hahahaaaaa! Mbona matumaini kwakweli.
Jamani shemdarling nilikumiss hadi nahisi kuumwa!! Ndio mkaenda kujifungia wapi na mdogo wangu? Tena mwambie karibia namfuta jina kwenye ukoo[emoji57]da shemeji........
Khaaaah!! Si kiranga chako cha kuruka ruka, acha yakukute!Wanawake wengine hawaridhiki..Hata ujitume vipi..Still ataona juhudi zako hazitoshi...Viumbe wengine wazito sana..Hawabebeki
kheeeee.....Jamani shemdarling nilikumiss hadi nahisi kuumwa!! Ndio mkaenda kujifungia wapi na mdogo wangu? Tena mwambie karibia namfuta jina kwenye ukoo[emoji57]
Hii hane mun yenu km mmeambiwa mnakufa kesho[emoji134] , mwambie kwa jinsi nilivyommiss ajisalimishe mwenyeweee kabla sijaghairi zawadi.kheeeee.....
usimfutee mwaya....
mambo ya hani muni....teh. atarudi soon shem... i miss u
teh saawa ameshaona. ila usimtoee kwenye ukooo dada shemej....Hii hane mun yenu km mmeambiwa mnakufa kesho[emoji134] , mwambie kwa jinsi nilivyommiss ajisalimishe mwenyeweee kabla sijaghairi zawadi.
Khaaah ili uchepuke vizuri, maana umesema we utachepuka tu ila ole wake!! Nitamnunulia nyingine, usininyanyasie mdogo wangu.teh saawa ameshaona. ila usimtoee kwenye ukooo dada shemej....
na smartfone nimeichukuwa.. si unakumbuka ule uzi wa mke wa mtu smartphone ya nini?
Ingekuwa hivyo si ungeolewa na Hemedi Kivuyo wa AiTiVi.....mtani umemaliza
We know what we want except we need it in a full package....The problem ni kuwa women dont know what they want?
Teh teh..Pasua kichwa wangu upo?..NimekumissKhaaaah!! Si kiranga chako cha kuruka ruka, acha yakukute!
ameridhika na kitochi buanah shemeji.....Khaaah ili uchepuke vizuri, maana umesema we utachepuka tu ila ole wake!! Nitamnunulia nyingine, usininyanyasie mdogo wangu.
Yule hata nimfute hafutiki ng'oooo.
Teh teh teh! Shem najua hajaridhika ila ndio vile hana jinsi, ila huu ubandidu umeuanza lini?ameridhika na kitochi buanah shemeji.....
mwenyewe walaa hasemi....ila akitaka smrt fone anatumia yanguu....
mke wa mtu smart phone ya nini
nature imeamua bila hivyo mambo hayaendi...shemdarlingTeh teh teh! Shem najua hajaridhika ila ndio vile hana jinsi, ila huu ubandidu umeuanza lini?