Wanaume badilikeni

Haya malalamiko yako yangekua mazuri na yenye mshiko endapo ungetuambia umeshawajaribu wanaume wangapi wanakupiga kabao kamoja tu, Pia umeingizwa magheto mangapi ya namna hiyo.
 
Mkiambiwa msitembee na vibabu mnasema vinajua kuhonga, ona sasa madhara yake
 
Mtu kabla ya tendo anakupa stress za kutosha
Afu mkiingia uwanjani anataka kuridhishwa

Huyo mwanaume amekuwa robot kumgeuza geuza unavyotaka.

Na yeye ana hisia vilevile
 
Juzi kati nilikutana na mwanamke hapa DSM, sasa ni jilani yangu wakati natoka kazini huwa kumbe anatazama mwondoko wangu. Asa siku moja akamwambia mdogo wangu "kaka ako anaonekana anayaweza, huo mwondoko wake tu"
Basi mim nikawa nimepatia gear ya kumapproach.
Hata hakukataa...

Siku ya siku nikakutana naye geto... sijui mood niliipatia wapi... maana nimemkuna hadi akaomba poo mwenyew...

Kesho yake ananitext..

"Jana ulinitia vizuri"
Nikashangaa sana. Baadaye ananiambiaje

"Kati ya wanaume na wew umo, umenitia mpaka leo sitembei vizur"
Teh teh

Sasa huyu dada sijui anaongelea wanaume wa mwaka gani
 
Utakuwa umeota sugu. .......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…