Msaada: Format ya wosia pleese!
Mimi ---------------Endapo nitatangulia mbele ya haki nitataka Mali zangu zifuatazo zigawanywe kama nitakavyoelekeza hapa chini na Wosia huu ni sharti ufuatwe na kila mmoja kama unavyoshuhudiwa hapa.
Mali zangu ni........Nyumba 4, moja ipo .........ya pili ipo........ya tatu ipo...............na ya nne ipo....................
Gari 2, viwanja 3 cha kwanza kipo..................cha pili kipo.......................cha tatu kipo.............................
Na mgawanyo utakuwa kama ifuatavyo.........
Jumla ya watoto wangu wote wa kuzaa ni 3 wawili ndani ya ndoa na mmoja nje ya ndoa, Majina yao ni Bituro onduku, katikila onduku, na kate onduku.
Nina mke mmoja wa ndoa naye ni....................
Mgawanyo wa Mali zangu ni kama ifuatavyo:-
...................................;........................................;...........................................;