Wanaume acheni mara moja kuvaa "kufuli" zinazobana ni hatari tena kubwa sana!!!

Wanaume wengi hivi sasa wanakabiliwa na tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume kutokana na sababu mbalimbali zinazotajwa na wataalam wa masuala hayo. Lakini kuna sababu moja imeachwa nayo ni uvaaji wa kufuli zinazobana. Kiafya, sehemu nyeti ya mwanaume hasa zile gololi zinatakiwa ziwe huru (free) kucheza kadri inavyowezekana. Zinapobanwa uwezo wake wa kuzalisha "bidhaa" unapungua kwa kiasi kikubwa na kusababisha kiasi cha "mbegu" na hata nguvu ya kupanda "mlima" kupungua. Kwa wanaovaa kufuli zinazobana waache mara moja. Watafute zinazopwaya ili kuruhusu "kiwanda" kifanye kazi yake ipasavyo. Sijui kama umewahi kujiuliza kwa nini wamasai wanaume hawavai "kufuli"? Ebu jaribu kufanya kautafiti kadogo upate sababu yake.
Maasai walishaliona hilo karne kadhaa na wadumisa mila kwa fuyo...:wink2:
 
kun KINGINE KINACHOHUSIANA NA KUFULI ZA KUBANA HASA KWA WATOTO WADOGO WA KIUME.KUWAVISHA KUFULI NDOGO KUNA SABABISHA JAMAA WASHINDWE KUKUA VIZURI NDO MAANA WATU WA NIGERIA NA HUKO WEST WAMEJAALIWA KWENYE ISHU ZA MGUU WA TATU.HATA WAMASAI HAWAVAI CHUPI UTOTONI NDO MAANA TUNAWAONA WANATESA
 
Wanaume wengi hivi sasa wanakabiliwa na tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume kutokana na sababu mbalimbali zinazotajwa na wataalam wa masuala hayo. Lakini kuna sababu moja imeachwa nayo ni uvaaji wa kufuli zinazobana. Kiafya, sehemu nyeti ya mwanaume hasa zile gololi zinatakiwa ziwe huru (free) kucheza kadri inavyowezekana. Zinapobanwa uwezo wake wa kuzalisha "bidhaa" unapungua kwa kiasi kikubwa na kusababisha kiasi cha "mbegu" na hata nguvu ya kupanda "mlima" kupungua. Kwa wanaovaa kufuli zinazobana waache mara moja. Watafute zinazopwaya ili kuruhusu "kiwanda" kifanye kazi yake ipasavyo. Sijui kama umewahi kujiuliza kwa nini wamasai wanaume hawavai "kufuli"? Ebu jaribu kufanya kautafiti kadogo upate sababu yake.

Aisee kama hawavai chupi hapo kwa RED kazi ipo. Umeshawahi kuona wale wanaosuka dada zetu, wanapoanza kuwasuka nywele za kichogoni? vichwa wanageuzia wapi? Kazi ipo, mi ndo maana napinga kabisa kusuka nywele kwao.
 
Heri yangu mimi nisiyevaa kabisa na mambo yapo swaaafi kabisa! Engine ni kick moja tu yaani pamoja na uzee wangu ukizungusha switch kidogo tu muda wowote inajibu.

Mh mzee unatupa wasiwasi wenzio!!maana wanaume wasiovaa kufuli wapo wengi sana kule Mombasa!ha haaa samahani lakini
 
Mwanaume mimi ndio maana sivaagi kabisa. Nataka upepo upite halafu akue vizuri.
Sitaki kubanwa banwa.
Nazilinda nguvu zangu kuliko chochote.
 
Dena mama, kweli tusipuuze hekima za wazee. Lakini hoja hapa zijikite kwenye sayansi yenyewe eti?

Kukujibu kisayansi ni kuwa,
1: NI KWELI kuwa mbegu huzalishwa katika korodani zilizo katika halijoto ya chini ya joto la binadamu. Unajua mtoto mdogo korodani zake huwa zipo ndani ya mwili kwa kiasi kikubwa kuliko sisi ma-shababi? hii hupelekea uzalishaji wa mbegu kwa watoto kutokuwepo kabisa, sababu? korodani zipo ndani ya mwili hivyo zina joto la juu sawa na mwili.
LABDA NDO MAANA: wakati wa baridi kali hamu ya ngono huzidi maradufu kwakuwa uzalishwaji wa semeni ni mkubwa mno na mwili huchochea mwili kupunguza semeni kwa kuhitaji 'mambo yetu' kwa kiasi kikubwa. =====> mimba zikizidi muda wa baridi fikiria zaidi hili na si tu kupata joto cuz thtz not kweli kisayansi.
Hitimisho: inawezekana ni kweli chupi mbano hupunguza nguvu za kiume kwakuwa hugandamiza korodani mwilini kwa muda mrefu na kuziongezea joto.

2. Unafahamu "evolution" kumbukumbu zangu zinaniambia ni mambo ya kina Darwins (mwanasayansi aliyechangia kwa kiasi kikubwa mambo hayo ya evolution)
Wanasema hata twiga alikuwa na shingo fupi ila kwakuwa alilazimika kula majani yaliyopatikana juu ya miti, taratibu shingoyake ikarefuka. Jaribu kutafakari kuhusu watu wa kale na wa sasa, wa mijini na vijijini, wa maofisini na wavuvi (mfano). unaona tofauti? najua utaiona lakini huletwa na nini? Jibu ni jinsi wanavyopambana na mazingira yao ili waishi.
Hata uume wa anayefanya mapenz mara kwa mara huwa ni mkubwa kuuzidi wa yule asiyefanya hivyo mara kwa mara ( huu ni utafiti wangu)
hitimisho: uwezekano wa mwanaume asiyefaa chupi kuwa na uume mkubwa wakati wa ukuaji kuliko anaevaa ni mkubwa kwa kuwa haubanwi na kuzuiwa kukua
 
Back
Top Bottom