grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 4,014
- 5,662
Mwanaume unaandika kama demu utakuja olewaHi
Jomoni nimechoka kupigwa mizinga na wanaume.tuseme ukweli nikulishe,nikuvishe nilipie hadi lodge,mimi kama mwanamke nitakuheshimu kweli?
Wanaume badilikeni jomoni coz hakuna mwanamke anapenda kuhudumia mwanaume,kamwe
Sisi wanawake tumeumbwa kupokea na siyo kutoa.Mimi usinipe hela yako ila pia usiniombe hela pulizzz
Ni aibuuuu,wanaume sijui wamekuwaje siku hizi jomon
Siwezi kukuheshimu kama nakulisha, wengi mtapinga ila ni kweli mwanamke anayemhudumia mwanaume hawezi mweshimu kamwe
Oneni lady jdee,flora mbasha,ndoa zilifel kwakuwa waume walikuwa marioo
Badilikeni jomon
mkuu unaonekana muhaya wewe[emoji28]Yeaah sure ..fighter alafu mrembo ...mmmhhhh maybe uku.kwa kada zetu, ndo unakuta mchaga mchaga kwelikweli amechanganya naguu lakihaya na kalio la kihaya
kautani tu wala usikwazike honey mwenye kalio mzigo[emoji28] [emoji28]
Unajistukia....simaindi hata nuktakautani tu wala usikwazike honey mwenye kalio mzigo[emoji28] [emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
We kwa lugha uliyoandika huna uwezo wa kumlisha mwanaume, mwanamke ambaye anampunga hawezi kutumia neno jomoni hilo linatumiwa na mabinti kama wewe ambao hata simu uliyonayo jamaa kakununuliaHi
Jomoni nimechoka kupigwa mizinga na wanaume.tuseme ukweli nikulishe,nikuvishe nilipie hadi lodge,mimi kama mwanamke nitakuheshimu kweli?
Wanaume badilikeni jomoni coz hakuna mwanamke anapenda kuhudumia mwanaume,kamwe
Sisi wanawake tumeumbwa kupokea na siyo kutoa.Mimi usinipe hela yako ila pia usiniombe hela pulizzz
Ni aibuuuu,wanaume sijui wamekuwaje siku hizi jomon
Siwezi kukuheshimu kama nakulisha, wengi mtapinga ila ni kweli mwanamke anayemhudumia mwanaume hawezi mweshimu kamwe
Oneni lady jdee,flora mbasha,ndoa zilifel kwakuwa waume walikuwa marioo
Badilikeni jomon
Aaaah kama nimekusoma ...Yaaan kapigwa kitambo kuja stukia late sanaaWanawake wenye vipato vyenu na nyie mna kazi sana. Hapo ukute ulimpata baada ya kuona hali imekuwa tete ukaamua walau umpate wa kukupunguzia [emoji3] [emoji3] matokeo yake ukaja gundua unaingizwa mjini sio muda ukajiongeza
Oooh ok... Nimegundua kitu CarlosNdiooo Wity, hapo akikumuona tu jamaa analoa chupin... Sasa unategemea hatokubal masharit?? Alafu usikute nayeye hajiamin km ni mzuri wa umbo na sura???
Lazima avumilie tu maana anaona kama bahati
Mmmmh kwa siku hizi...tena wadada wazuri ndo fighter balaa! Coz wengine hawawezi kuuza uchi
warembo wengi wana hunt mifuko yetu, wale hawafyeki visiki bali wanaokota vilivyo windwa tayari kwa gharama za kupewa mikuyengeMmmmh kwa siku hizi...tena wadada wazuri ndo fighter balaa! Coz wengine hawawezi kuuza uchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku ukigombana na shost mmoja unaanza pewa makavu na kuchambwa, kumbe storee uliwapa mwenyewe!huo nao ujinga wa badhi wa midada ya mujini, ukiliwa kila shost ajue, ukimsuta umefaidi nini zaidi ya kujishushia heshima?
badilikeni msutaji hugeuka msutwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa vema kama yuko humu...hili povu linapotea bure!
Nakuelewa [emoji23]
naam, hata huku wamejaa midada yenye uswahili mwingi, hujifanya wanajua kusuta, lkn wanaume wa humu nao huenda nao polepole hadi kinaeleweka, wakileta za kuletwa vinarushwa humu mwishowe inabadili id[emoji28]Siku ukigombana na shost mmoja unaanza pewa makavu na kuchambwa, kumbe storee uliwapa mwenyewe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Aseeee[emoji15] [emoji15]Wanawake wahongaji wako wengi sana sema tu wewe hauna pesa za kuhonga mwanamme. Tuachie tuhongwe na wenzako.