Wanaume acheni kuwa 'Marioo'

Fanya kurusha ebu... Binafsi sijawahi kuona mwanamke anayehonga toka nizaliwe.

hata kumskia pembeni... nawaona-ga kwenye mitandao kama hivi na kwenye story bubu.
 
Aseeh..... kwa hiyo huwa unaomba pesa na kuomba kununuliwa simu au yeye ndiye anakwambia baby chukua!

Na wewe huwa unaona kawaida tu!
 
Vijana kwa tambo utzani tamthilia za kiswazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…