Wanaume acheni kulalamika


Nmekupenda sana kwa kusema ukweli ubarikiwe sasa ww ndo wife material
 
Kwa mwanaume anayelalamika kuombwa pesa na mwanamke, alafu unamshauri aoe, atawezaje kutunza mke na familia sasa. Ila tabia ya kutoa inaanzia utotoni na mazingira unayokuzwa nayo. Kama baba alikuwa anamtunza mama vizuri nawe ukawa unaona, hata ukiwa mkubwa hutokuwa mlalamikaji kwa mwanamke. Ila kama baba alikuwa hamjali mama, hata wewe unakua na tabia hizo za kutojali mwanamke.
 

kama ni biashara, muwe mnasema!
 

Kumbe zinauzwa.... P for money!
 
Kwa uzoefu tu mwanaune unaempenda huwezi kumwomba hela, na mwanaume anaekupenda hasubiri kumwomba hela, yeye anajiongeza any tym
 
aisee umenikumbusha wit wangu, baada ya kumgegeda nikataka kumpa kihela akanambia sina shida na hela yako nataka tu penzi lako, nimebaki pale nashangaa yeye huko anavaa, "peter, nisindikize mie niondoke niwahi muda ushaenda", nilijua anatania
 
kama ni biashara, muwe mnasema!

Wala sio biashara.baadhi ya Wanaume hawajui nini maana ya kupenda.Wanadhani kupenda ni kugegeda!Jamani kugegeda ni hitimisho la upendo,litakuja lenyewe bila nguvu wala kuomba.Lkn m2 anadai papuchi kama alikukopesha,sio vizuri.
 
Kuombana hela kwa sababu tu ya kugegeda ni unyanyasaji wa kijinsia.
 
Me nafikiri muhimu nikutumia akili yako ili upewe hizo hela,siyo pesa vs papuchi....unakuta mtu hata hajawah kukupa wazo au kujadili uchumi kwa maana ya maendeleo,halafu unataka hela...kuza fikra zako na siyo kuwaza papuchi ikuletee hela
 
Naturally mwanaume ndio anatakiwa kuhangaikia masuala ya gharama za uendeshaji mapenzi.

Pesa ni tatizo kila mtu anajua ndio maana wanaume wanalalamika sana. Dawa ni kutafuta zaidi na wanawake watuelewe tunapokuwa hatujafanikiwa. Wanawake wengi hawatupendi tusipofanikiwa ndio maana frictions haziishi
 
Way to go sista.
 
Ww ni Changudoa Mzoefu tu huna lolote,kwa wale wateja wako watakuwa wameshakuelewa mana umetangaza biashara bila kulipia
 

I wish I could have a girl/lady like you,I am Praying for God to get a Wife Material like you and I Hope he will do a favour for me!Wanaume tunajua wajibu wetu kwa wanawake ni nn,So hatuhitaji kufundishwa nn Cha kufanya ninapokuwa na ww.I know my Responsibilty huhitaji kunikumbusha
 
Nmekupenda sana kwa kusema ukweli ubarikiwe sasa ww ndo wife material

Ofcos she is,huwa nampenda sana mwanamke asienionyesha waziwazi kama anapenda pesa hata kama yuko hivyo,hii inanipa imani kuwa uwezo wa kushawishiwa na kulaghaiwa kupitia pesa ni mdogo nami huwa nakuwa mstari wa mbele kumtimizia mahitaji yake yakifedha kwa kuonyesha uaminifu wake huo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…