Dear binafsi ningekuwa mwanamme I think ninge complain too .. Kuna wanawake wengine are too much kuendekeza Shida / dhiki . Wewe mwanamme hata haijafika 2 weeks unamuomba hela kama sio Hila na tamaa hiyo ni kitu gani . Tujitengenezee mazingira ya kupewa na sii kuomba omba . Wanawake wengine baadhi yao hufanya maumbile yao as a business common now . Jithamini mwenyewe kwanza and then wengine watakuthamini .. Jiheshimu mwenyewe and then others will follow it. Binafsi sipendi kuomba omba .. I can do all things through Christ who gives me strength . Akinipa sawa nashukuru ( which he does) asiponipa pia sawa nashukuru ( and I still love him anyway ) . Tabia ya kuomba omba its not nice honestly .. Sikumbuki lini nimemuomba mwenzangu zaidi ya yeye kunipa . Some women need to change . Hawa wanaume ni wapenzi wetu na si wazazi wetu ambao walituzaa hivyo they must give at anytime . Thanks.
Habari wana jf!Mimi huwa siwaelewi wanaume,niseme baadhi yao kwa kulalamika.Baadhi ya wanaume hulalamika pindi wanapoombwa pesa na wapenzi wao eti kwa kuwa tangu waanze uhusiano wana muda mfupi sana.Utasikia wengine wanasema hata siku 7 hazijaisha ananiomba laki 3!Hawa hawa wanaume wamekuwa wepesi kuomba papuchi kwa wanawake mapema kuliko hata maelezo,anataka atongoze leo&leo hii hii agegede!Naomba malalamiko yasiwepo,oa weka ndani!
Mm huwa na gegeda alaf wao ndo wananipa hela tena wananishukuru sana
Habari wana jf!Mimi huwa siwaelewi wanaume,niseme baadhi yao kwa kulalamika.Baadhi ya wanaume hulalamika pindi wanapoombwa pesa na wapenzi wao eti kwa kuwa tangu waanze uhusiano wana muda mfupi sana.Utasikia wengine wanasema hata siku 7 hazijaisha ananiomba laki 3!Hawa hawa wanaume wamekuwa wepesi kuomba papuchi kwa wanawake mapema kuliko hata maelezo,anataka atongoze leo&leo hii hii agegede!Naomba malalamiko yasiwepo,oa weka ndani!
Kwa uzoefu tu mwanaune unaempenda huwezi kumwomba hela, na mwanaume anaekupenda hasubiri kumwomba hela, yeye anajiongeza any tym
kama ni biashara, muwe mnasema!
Dear I agree with you .. let's try to be independent women please . Honestly we can do it .. Hela ya mtu ni utumwa jamani . Tusiitegemee hata kidogo. Hata kama tumeolewa tujitahidi kuwa business zetu wenyewe ili zitusaidie, kifedha kwa mahitaji yetu binafsi . Thanks..
Dear binafsi ningekuwa mwanamme I think ninge complain too .. Kuna wanawake wengine are too much kuendekeza Shida / dhiki . Wewe mwanamme hata haijafika 2 weeks unamuomba hela kama sio Hila na tamaa hiyo ni kitu gani . Tujitengenezee mazingira ya kupewa na sii kuomba omba . Wanawake wengine baadhi yao hufanya maumbile yao as a business common now . Jithamini mwenyewe kwanza and then wengine watakuthamini .. Jiheshimu mwenyewe and then others will follow it. Binafsi sipendi kuomba omba .. I can do all things through Christ who gives me strength . Akinipa sawa nashukuru ( which he does) asiponipa pia sawa nashukuru ( and I still love him anyway ) . Tabia ya kuomba omba its not nice honestly .. Sikumbuki lini nimemuomba mwenzangu zaidi ya yeye kunipa . Some women need to change . Hawa wanaume ni wapenzi wetu na si wazazi wetu ambao walituzaa hivyo they must give at anytime . Thanks.
Nmekupenda sana kwa kusema ukweli ubarikiwe sasa ww ndo wife material