Wanaume 10 wapotea Morogoro

Wanaume 10 wapotea Morogoro

Huna akili wewe umeniona hadi uanze kufanya hayo.
Unafikiri hapa ndio hitimisho kuwa una ufahamu na maisha bora.
Yaani ubongo wako umeoza.
Mimi siwezi kukuchokoza nakutia ufahamu siku nyingine usitumie mihemko ya kwenye danguro lako kujadili humu kitu chochote.

Hivi unahusisha hao waliopotea na rais unahisi rais ni babu yako akaomae na wawindaji haramu.

Jifunze matusi.
 
Kaka be calm, relax then endelea na ratiba zako zingine hapa jf, tumieni busara za kiuanaume mumalize haya malumbano mkuu.....hayana faida isitoshe hamjuani so haina haja ya kuyaendeleza
Kutokujuana isiwe sababu ya kuruhusu ujinga wa aina hii.

Hivi wawindaji leo hii wakipotea wahusishwe na Rais? Mtu wa aina hii ni kumchokonoa popote ili mradi ajirudi.
 
Huna akili wewe umeniona hadi uanze kufanya hayo.
Unafikiri hapa ndio hitimisho kuwa una ufahamu na maisha bora.
Yaani ubongo wako umeoza.
Jiangalie sana wewe, usiwe unakurupuka na majibu ya kipuuzi kisa umemezeshwa utahira na wenyeviti wa vyama.

Tumia siasa kama sehemu ya kukuongezea ufahamu siyo sehemu ya kukufanya zezeta.
 
Jiangalie sana wewe, usiwe unakurupuka na majibu ya kipuuzi kisa umemezeshwa utahira na wenyeviti wa vyama.

Tumia siasa kama sehemu ya kukuongezea ufahamu siyo sehemu ya kukufanya zezeta.
Nani amekuambia mimi mwanasiasa.
Kafie mbele
 
Nisimame nawewe ili iweje,siwezi kusimama na jini au shetani kama wewe.
Kafie mbele kwani unahitaji nini kwangu hadi uanze kunifuatilia.
Mimi sio level zako.
Kama unaliogopa JINI utadiriki kusimama na mimi hata kwa dakika mbili?
 
Nisimame nawewe ili iweje,siwezi kusimama na jini au shetani kama wewe.
Kafie mbele kwani unahitaji nini kwangu hadi uanze kunifuatilia.
Mimi sio level zako.
Ushauri wangu: Jifunze kutukana uwe na kitu cha kukubeba pale akili inapochemka.
 
Shughuli zao za kibinadamu huwa wanafanyia hifadhi ya wanyama?

Nijuavyo mimi mamlaka ya hifadhi hairuhusu shughuli za kibinadamu.

Hawa watakuwa majangili na nadhani dawa ya majangili mnaifahamu.
Wala hawatapatikana watakuwa washaliwa na simba😭😭😭😭
 
Viatu vya Samaki

Acheni bana nyie wanaume bana haifai kurushiana maneno hivyo uzi umegeuka uwanja wa vita ghafla hamuonani mnapoteza nguvu za nn nyuma ya keyboard kujibizana hivo?
 
Back
Top Bottom