Uko sahihi sana..!!Swali linahitaji uelezee conditions za pcm lakini pia ueleze Kama hizo conditions au pcm inaweza ku-exist katika maisha halisi
Conclusion ya mwisho itakuwa kuhusu kushindikana kuwepo kwa pcm kwani conditions zake haziwezi kumeet katika market yoyote
Asante Sana mkuuSwali linahitaji uelezee conditions za pcm lakini pia ueleze Kama hizo conditions au pcm inaweza ku-exist katika maisha halisi
Conclusion ya mwisho itakuwa kuhusu kushindikana kuwepo kwa pcm kwani conditions zake haziwezi kumeet katika market yoyote
Mchumi,tuko pamojaUko sahihi sana..!!

Mkuu umeenda chaka hatari!!! Swali linataka conditions za PCB au CBG basiSwali linahitaji uelezee conditions za pcm lakini pia ueleze Kama hizo conditions au pcm inaweza ku-exist katika maisha halisi
Conclusion ya mwisho itakuwa kuhusu kushindikana kuwepo kwa pcm kwani conditions zake haziwezi kumeet katika market yoyote
haya ndio majibu sahihi, safi sana mkuu.Soma nondo hiyo.....View attachment 1673680
Mbona swali rahisi sana?
Andika conditions za PCM na applications zake katika real world.
Sasa wajameni PCM itaachaje ku exist in real life? Kwani hamna watu wanasoma pcm mashuleni tena wanafaulu math na fizikia kabisa?Swali linahitaji uelezee conditions za pcm lakini pia ueleze Kama hizo conditions au pcm inaweza ku-exist katika maisha halisi
Conclusion ya mwisho itakuwa kuhusu kushindikana kuwepo kwa pcm kwani conditions zake haziwezi kumeet katika market yoyote
PCM, perfect competition marketSasa wajameni PCM itaachaje ku exist in real life? Kwani hamna watu wanasoma pcm mashuleni tena wanafaulu math na fizikia kabisa?
Na wengine baada ya kufaulu pcm ndio wakawajengea hizo nyumba mnazofanyia kazi kila siku!!
Achani utani PCM ipo na itaendelea kuwepo.
Asante sanaSoma nondo hiyo.....View attachment 1673680
Turekebishe au tujifunze lugha kwanza! Ulichoandika hakina maana yoyote.The existence of be perfect competition depend on number of strict condition prevailing on the market with firm operates.with example discuss the condition and show if it applicable be in the real situation
Sisi tulisha mwelewa hiyo ni typing error tu mkuu mambo ya keyboard hayo sio kwamba najua. Alafu lazima ujifunze kuwaelewa watu mbalimbali according to their levels of language skills. Watu hawatafanana katika kukuuliza au kujieleza. Wewe ndio unatakiwa ujifunze kuwaelewa.Turekebishe au tujifunze lugha kwanza! Ulichoandika hakina maana yoyote.
Sasa wajameni PCM itaachaje ku exist in real life? Kwani hamna watu wanasoma pcm mashuleni tena wanafaulu math na fizikia kabisa?
Na wengine baada ya kufaulu pcm ndio wakawajengea hizo nyumba mnazofanyia kazi kila siku!!
Achani utani PCM ipo na itaendelea kuwepo.





Mkuu umeenda chaka hatari!!! Swali linataka conditions za PCB au CBG basi



mkuu wewe unaonekana sio wa uwanda huu huku kwetu pcm inamaana ya perfect competitive market