Afadhali kuchakaa nguo kuliko akili, nguo unaweza kununua akili je utanunua wapi.
Ritz kaingia vipi kwenye udini halafu nyie Chadema-Kata mnadhani siasa ni uadui.
Afadhali kuchakaa nguo kuliko akili, nguo unaweza kununua akili je utanunua wapi.
Ritz kaingia vipi kwenye udini halafu nyie Chadema-Kata mnadhani siasa ni uadui.
Mimi naona ni bora twende kanisani kumshukuru Mungu na kutoa sadaka ya shukrani, tumeanza na Mungu tuendelee na Mungu, hapo vipi???Weka eneo hapa tukutane penye bata za ukweli hata kama huna pesa njoo tu. PIPOZ PAWAAAA.