Just Pray
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 2,142
- 4,779
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Tarime Mjini wameandamana kwenye ofisi za Chama hicho kupinga hatua ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa kumuengua mshindi wa kura za maoni katika jimbo hilo Michael Kembaki na kumteua Esther Matiko aliyeshika nafasi ya tatu kuwakilisha chama hicho kwa ngazi ya Ubunge katika jimbo hilo.
Wanachama hao wametishia kupigia kura wapinzani kwa kile walichodai chama ngazi ya Taifa kudharau maamuzi ya wanachama
Wanachama hao wametishia kupigia kura wapinzani kwa kile walichodai chama ngazi ya Taifa kudharau maamuzi ya wanachama