Wanathamini tool iliowaleta duniani eti!

Duh! Kweli nimeani tembea uyaone. Sikutegemea ningewahi kuona au kusikia kitu kama hichi.
 
Mambo ya Imani wana JF ni makubwa sana.

Hawa watu huwa wana sherehe yao hiyo ya kumsujudu DICKson na hapo wanakuwa wamembeba juu juu baada ya sala zao kama sikosei na wakiwa njiani, AKINA DADA/MAMA hukimbilia na kumgusa DICKson ili kuleta bahati.

Wakimbiliaji wa kumgusa DICKson zaidi zaidi huwa ni aina dada ambao hawajabarikiwa kuwa na mtoto na kumgusa huyo jamaa hapo juu inaaminika kunaleta hiyo bahati.

Nafikiri haya mambo yapo zaidi Vijijini ambako watu wapo karibu na NATURE. Ila mijini kama hapo Beijing penyewe palivyo, sijui watapita mitaa gani? Halafu hao akina dada wenyewe ndiyo ukute Style za akina madada News Generations ambao wanahela, nyumba safi, maisha mazuri na bwana/mtoto atamkwamisha tu maisha yake. Kwa hawa mabinti kama wanaofanya kazi Bank, TRA hata hapa Tanzania, bwana ni kifaa cha kumpumzisha tu kwa muda na hatataka kabisa mtoto au mtu wa kumuuliza unarudi saa ngapi na kwa nini.

Kama Sikosei hawa watakuwa Wachina ingawa Japan kama sikosei na wao wanaabudu huyu mjamaa....

Ohh, someni hapa kwa habari kamili: http://en.wikipedia.org/wiki/Kanamara_Matsuri
 
Waafrika hatukujaliwa utajiri na mali ila tumejaliwa akili timamu nadhani hao wakija bongo watachekwa tu hawapati mfuasi hata mmoja.
 
daaah,nalala sina mbavu,kumbe hii kit t inaabudiwa hivyo baadhi ya maeneo
 
Mambo ya Imani wana JF ni makubwa sana.

Hawa watu huwa wana sherehe yao hiyo ya kumsujudu DICKson na hapo wanakuwa wamembeba juu juu baada ya sala zao kama sikosei na wakiwa njiani, AKINA DADA/MAMA hukimbilia na kumgusa DICKson ili kuleta bahati.

Wakimbiliaji wa kumgusa DICKson zaidi zaidi huwa ni aina dada ambao hawajabarikiwa kuwa na mtoto na kumgusa huyo jamaa hapo juu inaaminika kunaleta hiyo bahati.

Nafikiri haya mambo yapo zaidi Vijijini ambako watu wapo karibu na NATURE. Ila mijini kama hapo Beijing penyewe palivyo, sijui watapita mitaa gani? Halafu hao akina dada wenyewe ndiyo ukute Style za akina madada News Generations ambao wanahela, nyumba safi, maisha mazuri na bwana/mtoto atamkwamisha tu maisha yake. Kwa hawa mabinti kama wanaofanya kazi Bank, TRA hata hapa Tanzania, bwana ni kifaa cha kumpumzisha tu kwa muda na hatataka kabisa mtoto au mtu wa kumuuliza unarudi saa ngapi na kwa nini.

Kama Sikosei hawa watakuwa Wachina ingawa Japan kama sikosei na wao wanaabudu huyu mjamaa....

Ohh, someni hapa kwa habari kamili: Kanamara Matsuri - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Mbona ipo moja tu. Lazma kuwe na HASI na CHANYA ndipo umeme upite, mbona ipo HASIn tu chanya i wapi
 
Back
Top Bottom