Mtafute Mzee Butiku, yeye na mke wake waliondoka mgu kwa mguu mpaka Mahakamani kuomba talaka bila kupigiana kelele wala manung'uniko. Mahakama ilitoa talaka. Hawakwenda baraza la usuluhishi wala ustawi wa jamii. Wanasheria huwa wana-cite ndoa hiyo kwenye kesi wanazoendesha
suala la kufungua kesi za namna hiyo huwa linaanzia chini kwenye mabaraza kama mabaraza ya kata n.k, ila kama imefikia hatua ya kufungua kesi mahakamani nafikiri kitu cha kwanza kuzingatia ni eneo ambalo ndoa hiyo imefungwa ambapo kwa maelezo yako ni kigoma. Suala la pili la kufikiria mahali ambapo mmoja wenu anaishi .tatu nilazima uzingatie eneo ambalo litakuwa rahisi kati yenu kupatikana mara mtakapohitajika mahakamani. Kwa mawazo yangu kwa kuwa mpaka sasa mdogo wako amevunja agano/mkataba wa ndoa kwa kuoa/kuzaa na mke mwingine nje ya ndoa halali (japo hujatueleza ndoa hiyo ni ya aina gani) ila tuchukulie ni ya mke mmoja, naamini mahakama inaweza kuvunja ndoa hiyo, kitu cha msingi ni wewe kufungua kesi eneo ambalo mke wako wa ndoa ndiyo makazi yake ya kudumu, hata hivyo kabla hatua hizo hazijafikiwa nafikiri ni vema kujaribu kutafuta muafaka au kumjulisha mkewe kusudio la kuvunja ndoa hiyo kutokana na abc zilizofikia kama mkewe atakuwa radhi wanaweza kukubaliana sehemu ambayo kesi ifunguliwe. (haya ni mawazo yangu tafadhali usije ukayachukulia kama msimamo wa kisheria, aidha siungi mkono watu kuachana maana mungu hapendi kuachana)
pole sana kwa matatizo ya mdogo wako kama wao 2 wamekubaliana na wameridhia kabisa kuachana wanaweza kwenda kwa mwanasheria akawatengenezea hayo makubaliano yenu nafikiri kuna namna wanafanya then mnakwenda ustawi wa jamii kisha mahakamani kwa vile akuna mabisahano kati yenu wala madai kunakuwa akuna longo longo mahakama inavunja huo ni mtazamo wangu base to what i have hear bfore mkuu
Mtafute Mzee Butiku, yeye na mke wake waliondoka mgu kwa mguu mpaka Mahakamani kuomba talaka bila kupigiana kelele wala manung'uniko. Mahakama ilitoa talaka. Hawakwenda baraza la usuluhishi wala ustawi wa jamii. Wanasheria huwa wana-cite ndoa hiyo kwenye kesi wanazoendesha
Hebu pitia humu kidogo kabla hujaenda kwa wakili, walau uwe na idea inakuwaje hadi ndoa ivunjwe.
this is the link
http://www.out.ac.tz/current/course%20outlines/law/OLW308.pdf
mbona suala ni dogo sana sa ka dogo keshapata mtu mwingine na wako safi tu tatizo liko wapy umetake trouble hadi ya kuleta habariyako huku jamvini kutusumbua tu hebu waambie wapelekane kwenye tribunals huko.