Mimi nina Mashaka na mpango wa vision 2025 ambao Jk alitoa dira juzi kufikiwa, kama wanataaluma wetu watajikita zaidi kwenye siasa ilihal wao ndio ambao wangespearhead maendeleo through making sound policies,consultancy and so on. Nafikiri tuna misuse human resource tulizonazo. kwa nini watu kama profesa Lipumba ambaye ni gwij la uchumi asingetumika kwenye maswala ya kutunga sera, kuandaa budget n.k?,siasa hawez huyu jamaa! Wkt mwingine namhurumia anavyopondwa na uprofesa wake, anavyotoa pumba kwenye maswala ya politics. Mtu kama Dr H.mwakyembe ni jembe sheria na katiba hiv hii taaluma yake anaitumia vzuri kuelimisha raia abt katiba? .Mwandishi wa vitab na mwanataaluma Nyambari Nyangwine ,hiv kale kastesheri kake ndo kamekufa hivyo? Hawa ni wachache sana ongezeni wengine na wasifu wao ili tuevaluate tumepoteza vichwa vingapi? Ukiwa politician, lazma tukubaliane utafanya mambo kwa maslah ya chama na taaluma yako inakuwa mis/underutilized.