Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 36,358
- 23,760
Ndugu zangu Watanzania,
Wana songwe kutoka wilaya mbalimbali na maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Songwe wapo wanasafiri na kuapa kukesha wana safiri kwa ajili ya kuwahi asubuhi na Mapema katika Ofisi za CCM Mkoa wa Songwe.
Kwa Lengo la kumdhamini Mwenyekiti wetu wa CCM Taifa na Mgombea Urais wetu atakaye peperusha Bendera ya chama chetu cha Mapinduzi CCM Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Jasiri muongoza njia.
Nikiwa katika maeneo mbalimbali nimeshuhudia watu wana CCM wakiwa na kiu na shauku kubwa sana ya kila mmoja kutaka kuandika historia ya kumdhamini Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania ambaye amefanya kazi kubwa sana ndani ya muda mfupi sana wa uongozi wake. Ambayo kwa hakika imekiheshimisha chama cha Mapinduzi na kukijengea heshima machoni pa watu na kuaminika mioyoni Mwa Watanzania.
Mkoa wa Songwe unataka kuweka historia na rekodi ya watu wengi wana CCM ambao watamdhamini Rais wetu. Njia nzima na mitaa yote ni Mama Samia tu ndiye aliyeteka na kutawala mazungumzo ya watu. Kila mmoja anashauku ya kuweka historia. Watu wanaona ni kama hakukuchi na ndio maana wanataka wakeshe wakitembea usiku kucha.
Kwa hakika huu ni zaidi ya upendo kwa Rais Samia. Haya ni Mahaba kwa Mama yetu . Ni upendo wa AGAPE. Kupendwa Raha sana ndugu zanguni watanzania. Wekeza kwa Maisha ya watu na uguse Maisha yao uone namna utakavyojiwekea alama za kudumu Mioyo mwa watu. Hiki ndicho kinachotokea kwa sasa baada ya kazi nzuri ya Rais wetu kuwekeza kwa watu na Kugusa Maisha yao. Sasa anarudishiwa shukurani za Upendo wa AGAPE.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wana songwe kutoka wilaya mbalimbali na maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Songwe wapo wanasafiri na kuapa kukesha wana safiri kwa ajili ya kuwahi asubuhi na Mapema katika Ofisi za CCM Mkoa wa Songwe.
Kwa Lengo la kumdhamini Mwenyekiti wetu wa CCM Taifa na Mgombea Urais wetu atakaye peperusha Bendera ya chama chetu cha Mapinduzi CCM Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Jasiri muongoza njia.
Nikiwa katika maeneo mbalimbali nimeshuhudia watu wana CCM wakiwa na kiu na shauku kubwa sana ya kila mmoja kutaka kuandika historia ya kumdhamini Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania ambaye amefanya kazi kubwa sana ndani ya muda mfupi sana wa uongozi wake. Ambayo kwa hakika imekiheshimisha chama cha Mapinduzi na kukijengea heshima machoni pa watu na kuaminika mioyoni Mwa Watanzania.
Mkoa wa Songwe unataka kuweka historia na rekodi ya watu wengi wana CCM ambao watamdhamini Rais wetu. Njia nzima na mitaa yote ni Mama Samia tu ndiye aliyeteka na kutawala mazungumzo ya watu. Kila mmoja anashauku ya kuweka historia. Watu wanaona ni kama hakukuchi na ndio maana wanataka wakeshe wakitembea usiku kucha.
Kwa hakika huu ni zaidi ya upendo kwa Rais Samia. Haya ni Mahaba kwa Mama yetu . Ni upendo wa AGAPE. Kupendwa Raha sana ndugu zanguni watanzania. Wekeza kwa Maisha ya watu na uguse Maisha yao uone namna utakavyojiwekea alama za kudumu Mioyo mwa watu. Hiki ndicho kinachotokea kwa sasa baada ya kazi nzuri ya Rais wetu kuwekeza kwa watu na Kugusa Maisha yao. Sasa anarudishiwa shukurani za Upendo wa AGAPE.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.