Think2
JF-Expert Member
- Jan 3, 2025
- 2,193
- 3,959
Wanasimba jana wamefanya tukio ngumu sana ni mara baada ya msigwa kumtwangia simu mgombea urais wa CCM Samia watu waligoma kabisa kuitikia salamu ya mgombea huyo.
Kwangu ni jambo zuri sana tuko tunaenjoy zetu mpira wewe unatuletea siasa
Conclusion: Akili za watz zimeanza kuchangamka sasa
Asilimia 90% ya wakazi wa dar hawaipendi ccm fullstop unabisha ulikuepo??😁
Kwangu ni jambo zuri sana tuko tunaenjoy zetu mpira wewe unatuletea siasa
Conclusion: Akili za watz zimeanza kuchangamka sasa
Asilimia 90% ya wakazi wa dar hawaipendi ccm fullstop unabisha ulikuepo??😁