Wanasiasa...

Wanasiasa...

SI unit

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
1,953
Reaction score
767
Wanasiasa 40 walipata ajali mbaya porini, mkulima mmoja akasogea kuwacheki akaamua kuwazika wote. Polisi walipofika wakamuuliza zipo wapi maiti? Mkulima akajibu, nimezizika zote. Polisi wakauliza tena una uhakika wamekufa? Mkulima akajb 'wachache walilalamika kuwa hawajafa, ila si unajua wanasiasa walivyo waongo? Mie nikajua wanadanganya tu!
 
Teh teh teh teh nice one
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom