Wanasiasa wetu,unafiki wao njaa na fikra zao!

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Oct 28, 2012
18,425
20,462
JANA: Prof. Kitila Mkumbo (ACT).
°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°
"Huu utaratibu wa kuwateua wasomi tu ambao ni walimu na wanataaluma kutoka vyuo vikuu hasa Chuo kikuu cha Dar es salaam si mzuri maana rais haoneshi kuwaandaa wengine kuchukua nafasi zao, tuachwe wasomi tufanye kazi za kitafiti na kitaaluma"

LEO: Prof. Kitila Mkumbo (ACT).
°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°
"Ukishapewa kazi na mkuu wa nchi, unaipokea na unaifanya kwa bidii kama yalivyo matarajio, kwahiyo nimepokea uteuzi, nimekubali, mkuu wa nchi akikupa kazi utaikataa vipi, mkuu wa nchi akikupa kazi unaifanya, kumbuka mimi ni mtumishi wa umma"

Unawaelewaje wanasiasa wa aina hii barani Afrika?
 
Masilahi binafsi,masilahi binafsi, masilahi binafsi!
hii ndiyo kauli mbiu ya viongozi wengi wa barani Afrika
 
JANA: Prof. Kitila Mkumbo (ACT).
°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°
"Huu utaratibu wa kuwateua wasomi tu ambao ni walimu na wanataaluma kutoka vyuo vikuu hasa Chuo kikuu cha Dar es salaam si mzuri maana rais haoneshi kuwaandaa wengine kuchukua nafasi zao, tuachwe wasomi tufanye kazi za kitafiti na kitaaluma"

LEO: Prof. Kitila Mkumbo (ACT).
°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°
"Ukishapewa kazi na mkuu wa nchi, unaipokea na unaifanya kwa bidii kama yalivyo matarajio, kwahiyo nimepokea uteuzi, nimekubali, mkuu wa nchi akikupa kazi utaikataa vipi, mkuu wa nchi akikupa kazi unaifanya, kumbuka mimi ni mtumishi wa umma"

Unawaelewaje wanasiasa wa aina hii barani Afrika?
Sio wanasiasa,WATHOMI
 
tapatalk_1475896157549.jpeg
Ndo wanasiasa tulonao ..... but tuvumiliane tu
 
JANA: Prof. Kitila Mkumbo (ACT).
°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°
"Huu utaratibu wa kuwateua wasomi tu ambao ni walimu na wanataaluma kutoka vyuo vikuu hasa Chuo kikuu cha Dar es salaam si mzuri maana rais haoneshi kuwaandaa wengine kuchukua nafasi zao, tuachwe wasomi tufanye kazi za kitafiti na kitaaluma"

LEO: Prof. Kitila Mkumbo (ACT).
°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°
"Ukishapewa kazi na mkuu wa nchi, unaipokea na unaifanya kwa bidii kama yalivyo matarajio, kwahiyo nimepokea uteuzi, nimekubali, mkuu wa nchi akikupa kazi utaikataa vipi, mkuu wa nchi akikupa kazi unaifanya, kumbuka mimi ni mtumishi wa umma"

Unawaelewaje wanasiasa wa aina hii barani Afrika?
Pamoja na kushiriki siasa Prof. Mkumbo ni mtumishi wa umma hivyo kuikubali appointment ya Mh. Rais ni wajibu na ni sehemu ya utii.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom