Wanasiasa waponzwa na Uongo wao.

Ndibalema

JF-Expert Member
Apr 26, 2008
10,956
4,648
Wanasiasa 10 walipata ajali mbaya alitokea mkulima mmoja alichimba shimo na kuwazika, Polisi walikuja na kuanza kumhoji;

Polisi:Uliona ajali?
Mkulima:Hapana, nilikuta imeshatokea na maiti zimezagaa.
Polisi:Zipo wapi maiti?
Mkulima:Nimezizika.
Polisi:Una uhakika wote wamekufa?
Mkulima:Kuna wengine walikuwa wanalalamika kwamba hawajafa lakini si unajua wanasiasa walivyo waongo! mimi nikajua tu wanadanganya nikawazika wote...
 
ha ha ha - Mzee hii kali. Wanasiasa wana kazi kweli kweli.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…