Wanasiasa wa upinzani wala sio maadui wa Magufuli, mfahamu adui mkuu wa Magufuli.......

herzegovina

JF-Expert Member
Oct 28, 2015
3,129
4,712
Adui Mkuu Wa Magufuli ni "Umma Wa watanzania"....haupendiii....haupendiiii....haupendiiiii

Anauchukia kwa sababu kipindi akitembea na barabara kuomba kura mlikuwa mnamnyooshea vidole viwili mkimuimba MTU Fulani.

Kamata kamata ya wapinzani ni kwa ajili ya kuumiza Mioyo ya wananchi....koz wengi wanasapoti upinzani.

Imefika wakati, Rais anaridhika zaidi akiuumiza umma kwa sababu anajua haumpendi....pia anawakumbatia wale ambao umma hauwapendi kwani ndio wafariji wake.

Rais anashindana na umma na hapa ndio tunajiuliza, Je ni kweli alishinda kihalali?????
 
mlango ukizibwa, unapita dirishani, muhimili mahakama upo, tusubiri tuone kama kweli kesi itafunguliwa, ikithibitika bila shaka mkuu wa mkoa anavyeti feki,jina feki etc kwa heshima ya zoezi la uhakiki atatokea dirishani kama mlango utakuwa bado umefungwa.
Tunasupport mazuri tunapinga mabaya, maisha yanasonga
 
Tatizo la UKAWA umapinduzi wao upo mitandaoni ila kuhusika kwenye kupiga kura hawashiriki
 
Adui Mkuu Wa Magufuli ni "Umma Wa watanzania"....haupendiii....haupendiiii....haupendiiiii

Anauchukia kwa sababu kipindi akitembea na barabara kuomba kura mlikuwa mnamnyooshea vidole viwili mkimuimba MTU Fulani.

Kamata kamata ya wapinzani ni kwa ajili ya kuumiza Mioyo ya wananchi....koz wengi wanasapoti upinzani.

Imefika wakati, Rais anaridhika zaidi akiuumiza umma kwa sababu anajua haumpendi....pia anawakumbatia wale ambao umma hauwapendi kwani ndio wafariji wake.

Rais anashindana na umma na hapa ndio tunajiuliza, Je ni kweli alishinda kihalali?????


Inatakiwa watanzania tusikubali kuitwa wajinga waoga kila leo, ndio maana wanafanya wanavojisikia, kodi wapandishe, maisha yanazidi kua magumu wao kwao marahisi, Raisi anasema hapa kazi tu wakati ajira zenyewe hakuna kafungia, huu ni uhuni wa viongozi wote, wakipita mabarabarani tusubiri masaa kibao, mbu na joto ndio vinazidi kupamba moto wao hawavisikii, kupata mkopo wa imekua kama unaomba pepo, kinachouma zaidi kufukuza watu makazini kwa tuhuma za vyeti feki halafu leo anamkumbatia jambazi wa vyeti na mteka nyara studio daudi bashite,

Jamani eeeh hawa watu si wa kuwachekea ni kupigwa mawe kwenye mikutano, na wasimalize muhula tuwatoeee hawafai
 
Back
Top Bottom