comson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 288
- 41
Ni kawaida kwa mtoto kujifunza kutoka kwa mkubwa wake (imitation) au kwa kuiga kutoka kwa yule ampendaye (modelling)...
Hv kwa hawa wanasiasa wetu tunajifunza nini...! Kwa mfano: Inashangaza kwa nchi kama tz kujadili na kuunda tume ya kujadili kurudishwa kwa chura wa kiwira... wakati nchi iko kwenye giza....
Mwanasiasa anashindwa kujibu hoja na kubaki bungeni anachekacheka tu bila ya sababu na hoja ajaitolea majibu ya kuridhisha..; ref: bajeti ya wizara ya katiba na sheria... LISSU V/S waziri wa sheria...yaani kajibu nothing kwa lissu na ana wasiwasi.....
Hv kwa hawa wanasiasa wetu tunajifunza nini...! Kwa mfano: Inashangaza kwa nchi kama tz kujadili na kuunda tume ya kujadili kurudishwa kwa chura wa kiwira... wakati nchi iko kwenye giza....
Mwanasiasa anashindwa kujibu hoja na kubaki bungeni anachekacheka tu bila ya sababu na hoja ajaitolea majibu ya kuridhisha..; ref: bajeti ya wizara ya katiba na sheria... LISSU V/S waziri wa sheria...yaani kajibu nothing kwa lissu na ana wasiwasi.....