Wanasiasa Tusivuruge Amani !

Wanasiasa Tusivuruge Amani !

Mwingereza

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2014
Posts
1,115
Reaction score
2,771
Kuna watu wamekuwa kivuruga, wanatoa matamko na kufanya mambo yanayoelekea kuleta uvunjifu wa amani. Nadhani huu ni jumbe murua kwa watawala wetu. Amani hainunuliwi, hasa tukisikia haya mambo ya April, 26

Nymbo inaweza kuwa na ujumbe mzito, na hii yetu ilianza kama minongono ya chini kwa chini, lakini baada ya muda yakafikia hapa kutokana na mambo mengi ambayo yanaonekana kama mambo ya uonevu

Cheo ni dhamana. Wenye madaraka wasichezee nafasi zao. Haki haipotei, inacheleweshwa. Tusichezee amani

 
  • Thanks
Reactions: BAK
Maandamano ya tarehe 26/04 ni ya AMANI..

Hakuna atakayekuwa na wembe mkononi sembuse pini..

Sasa sijui Bashite na Baba yake kwanini mavi yanagonga kwenye boxer na kurudi kwa kihoro.
 
Unawahusu sana Mbowe, Lema, Lisu, Msigwa, Sugu, Mdee na Maria Sarungi
 
Ndiyo matatizo ya nchi kutokuwa na utawala wa sheria. Nchi ingekuwa na utawala wa sheria mafisadi Mkapa na Kikwete wasingepata nafasi ya kumsukumizia huyo dhalimu DU Ikulu kwani wote wangekuwa lupango kutokana na maovu yao mbali mbali walipokuwa madarakani.

Yani mpaka wahuni wamekuwa viongozi awamu ya tano.
 
NANI anavuruga Amani Yetu Kati ya Chama Tawala na vyama vya upinzani?
 
Unahubirije Amani huku umeficha Mapanga kwa nyuma? Utahubiri vp amani wakti wewe ndio mvunjaji wa Amani? Unamvunjia mtu nyumba yake kibabe,Mahakani imezuia ubomoaji,wewe unabomoa halafu mikoa mingine unazuia watu wasibomolewe(Double Standard) halafu unasema watu walinde amani?
 
Mange Kimambi ni Mwanachama wa CCM

Tangu Mange Kimambi agombee ubunge CCM hajawahi kujitoa CCM

Mange Kimambi hakuwahi kufukuzwa uanachama CCM

Nyerere Alisema upinzani imara utatoka ndani ya CCM na huyo ni Mange

Maandamano ni ya Wanaccm, watanzania (Mgambo, Jeshi, Polisi etc)

Kwani waliotaka kumpindua Nyerere ni akina nani? Ni Wana CCM (TANU)

Someni historia nyie vilaza wa Lumumba/UVCCM aka Buku 7
 
tatizo viongozi wetu wanataka kuaminisha umma kuwa wapinzani ndio wanachafua amani wakati wanajua wazi kuwa wao ndio wanavuruga amani yetu.wanatakiwa kutambua kuwa tumefika hapa tulipo kutokana na wao.
 
Maandamano ya amani sana yatakuwepo kila mkoa kila kijiji kila kitongoji kila jiji. Tuone kaw watawaua wote.
Hapo tutajua nanianachezea amani ya nchi hii.Ni watawala ama nyama mbadala. Kuanzia leo sitasema upinzani.
 
Mange Kimambi ni Mwanachama wa CCM

Tangu Mange Kimambi agombee ubunge CCM hajawahi kujitoa CCM

Mange Kimambi hakuwahi kufukuzwa uanachama CCM

Nyerere Alisema upinzani imara utatoka ndani ya CCM na huyo ni Mange

Maandamano ni ya Wanaccm, watanzania (Mgambo, Jeshi, Polisi etc)

Kwani waliotaka kumpindua Nyerere ni akina nani? Ni Wana CCM (TANU)

Someni historia nyie vilaza wa Lumumba/UVCCM aka Buku 7
Hawawezi kukubali
 
Unahubirije Amani huku umeficha Mapanga kwa nyuma? Utahubiri vp amani wakti wewe ndio mvunjaji wa Amani? Unamvunjia mtu nyumba yake kibabe,Mahakani imezuia ubomoaji,wewe unabomoa halafu mikoa mingine unazuia watu wasibomolewe(Double Standard) halafu unasema watu walinde amani?
Unahubirije Amani huku umeficha Mapanga kwa nyuma? Utahubiri vp amani wakti wewe ndio mvunjaji wa Amani? Unamvunjia mtu nyumba yake kibabe,Mahakani imezuia ubomoaji,wewe unabomoa halafu mikoa mingine unazuia watu wasibomolewe(Double Standard) halafu unasema watu walinde amani?

Rambi rambi za Kagera
 
Kuna mambo magumu yanawakabili wafanyakazi. Hofu ya akiba yao katika mifuko ya hifadhi. Haijulikani nini hatima ya akiba ya wafanyakazi.
Kuna mambo 2 chini hapa hayajulikani;

A - Sasa kuna Fao lipi? Fao la kukosa ajira au Fao la kujitoa?

Wafanyakazi wamefurahi kuhusu haya mambo?

B- Kuunganisha mifuko ya hifadhi za jamii.

Mambo ni siri, Serikali inalipa madeni?

Je kuna pesa kweli, pesa ziko salama?

Nawaza tu, je wafanyakazi watavumilia huu uonevu?

Wewe una uhakika wa kuishi mpaka miaka 55? (una ahadi na Mungu)!

Je, utakuwa huna nyumba ya kuishi?

Tanzania ni nchi yenye haki sana.

Tunahangaika na maendeleo ya wananchi.

Mimi ni mtetezi wa wanyonge.
 
Kuna watu wamekuwa kivuruga, wanatoa matamko na kufanya mambo yanayoelekea kuleta uvunjifu wa amani. Nadhani huu ni jumbe murua kwa watawala wetu. Amani hainunuliwi, hasa tukisikia haya mambo ya April, 26

Nymbo inaweza kuwa na ujumbe mzito, na hii yetu ilianza kama minongono ya chini kwa chini, lakini baada ya muda yakafikia hapa kutokana na mambo mengi ambayo yanaonekana kama mambo ya uonevu

Cheo ni dhamana. Wenye madaraka wasichezee nafasi zao. Haki haipotei, inacheleweshwa. Tusichezee amani


Mnawaendekeza ndio maana
Huu wimbo watumiwe Magu na Bashite

Kabisa hawa watu wawili na genge lao la watu wanaowaita wasiojulikana wanatuchafulia na kuivuruga Tanzania yetu.
 
Tarehe 26 April ni Siku ya kuuthibitishia Ulimwengu kuwa Mfupa ulioshindwa kuvunjwa na Makarai na Nyumbu Sept 1, 2016 hauwezi kuvunjwa na kahaba!

Hakuna haja ya kuandikia Mate wakati wino upo!

Watanzania tutawadharau Tena hapo 26 April Hatutaki tuwe Kama Libya wala Egypt wala Iraq ambayo walidanganywa wakiondoka Watawala waliopo Basi Nchi zao zingekuwa Pepo lakin zote hizo Hakuna iliyofanikiwa walau ku maintain hadhi waliyokuwa nayo kabla ya kurubunika
 
Back
Top Bottom