telitaibi
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 551
- 106
Hi wana JF wote
Leo tusemezane kuhusu hii tabia ya wanasiasa au viongozi wa serikali kupata kashfa za ngono imekuwa kama moja ya kuedit CV zao duniani swali wanapata wapi mda wa kukimbizana na makahaba na mda wa kujipanaga na majukumu ya uma that why wanaishia kuchakachua mali kwa kushindwa kujipanga mda ukiwapa mgongo ndo kuiba na kuachia nchi balaa tupu ni mishahara inayotokana na kodi za uma zinawapa kibali au ni nini jamani????????????
Leo tusemezane kuhusu hii tabia ya wanasiasa au viongozi wa serikali kupata kashfa za ngono imekuwa kama moja ya kuedit CV zao duniani swali wanapata wapi mda wa kukimbizana na makahaba na mda wa kujipanaga na majukumu ya uma that why wanaishia kuchakachua mali kwa kushindwa kujipanga mda ukiwapa mgongo ndo kuiba na kuachia nchi balaa tupu ni mishahara inayotokana na kodi za uma zinawapa kibali au ni nini jamani????????????