M Mr. Magena Member Aug 30, 2011 35 4 Nov 16, 2011 #1 Kulikuwa na msiba wa mtoto wa mbunge ulipofika mda wakuongea kwa niaba ya familia,mbunge akajisahau nakusema wananchi oyee!
Kulikuwa na msiba wa mtoto wa mbunge ulipofika mda wakuongea kwa niaba ya familia,mbunge akajisahau nakusema wananchi oyee!
M Mr. Magena Member Aug 30, 2011 35 4 Nov 16, 2011 Thread starter #3 MR. DRY said: Ni mbunge wa jimbo lako nini?nukta Click to expand... kaka mbona unanichukia gafla hvyo,kama kuna makosa si uniambie nijirekebishe jembe
MR. DRY said: Ni mbunge wa jimbo lako nini?nukta Click to expand... kaka mbona unanichukia gafla hvyo,kama kuna makosa si uniambie nijirekebishe jembe
Shine JF-Expert Member Feb 5, 2011 11,481 1,364 Nov 16, 2011 #4 Bila kukosea ni Mbunge wa magamba huyo aibu kwenu kampeni mpaka kwenye misiba
V valid statement JF-Expert Member Sep 18, 2011 2,851 870 Nov 16, 2011 #5 siasa hadi msibani? Kweli huo uchakachuaji umezidi.
Washawasha JF-Expert Member Aug 7, 2006 16,652 13,077 Nov 17, 2011 #7 hahahaha hii ni hatari wajameni. Nalog off
Malipesa JF-Expert Member Aug 23, 2011 310 32 Nov 17, 2011 #9 Ni suala la wakati tu, ukifika hatutakuwa na wabunge kama hao.