M Mr. Magena Member Joined Aug 30, 2011 Posts 35 Reaction score 4 Nov 16, 2011 #1 Kulikuwa na msiba wa mtoto wa mbunge ulipofika mda wakuongea kwa niaba ya familia,mbunge akajisahau nakusema wananchi oyee!
Kulikuwa na msiba wa mtoto wa mbunge ulipofika mda wakuongea kwa niaba ya familia,mbunge akajisahau nakusema wananchi oyee!
MR. DRY JF-Expert Member Joined Oct 5, 2011 Posts 637 Reaction score 122 Nov 16, 2011 #2 Ni mbunge wa jimbo lako nini?nukta
M Mr. Magena Member Joined Aug 30, 2011 Posts 35 Reaction score 4 Nov 16, 2011 Thread starter #3 MR. DRY said: Ni mbunge wa jimbo lako nini?nukta Click to expand... kaka mbona unanichukia gafla hvyo,kama kuna makosa si uniambie nijirekebishe jembe
MR. DRY said: Ni mbunge wa jimbo lako nini?nukta Click to expand... kaka mbona unanichukia gafla hvyo,kama kuna makosa si uniambie nijirekebishe jembe
Shine JF-Expert Member Joined Feb 5, 2011 Posts 11,481 Reaction score 1,372 Nov 16, 2011 #4 Bila kukosea ni Mbunge wa magamba huyo aibu kwenu kampeni mpaka kwenye misiba
V valid statement JF-Expert Member Joined Sep 18, 2011 Posts 2,855 Reaction score 895 Nov 16, 2011 #5 siasa hadi msibani? Kweli huo uchakachuaji umezidi.
chapaa JF-Expert Member Joined Feb 19, 2008 Posts 2,349 Reaction score 206 Nov 17, 2011 #6 alikuwa mrema
Washawasha JF-Expert Member Joined Aug 7, 2006 Posts 16,974 Reaction score 13,430 Nov 17, 2011 #7 hahahaha hii ni hatari wajameni. Nalog off
THK DJAYZZ JF-Expert Member Joined Sep 14, 2011 Posts 2,166 Reaction score 175 Nov 17, 2011 #8 Khaaa ! Hii ya kawaida sana.
Malipesa JF-Expert Member Joined Aug 23, 2011 Posts 310 Reaction score 32 Nov 17, 2011 #9 Ni suala la wakati tu, ukifika hatutakuwa na wabunge kama hao.