Danpol JF-Expert Member Aug 15, 2013 5,682 8,809 Oct 28, 2017 #1 Sheria inasemaje kuhusu hili Umempa mimba mwanafunzi wa secondary (umri wake ni miaka 23) Sheria inasemaje kuhusu hapa?? Kuna miaka 30??? au kwakua umri ushavuka hamna tatizo??
Sheria inasemaje kuhusu hili Umempa mimba mwanafunzi wa secondary (umri wake ni miaka 23) Sheria inasemaje kuhusu hapa?? Kuna miaka 30??? au kwakua umri ushavuka hamna tatizo??
G'taxi JF-Expert Member Sep 15, 2013 6,565 8,425 Oct 28, 2017 #2 Jiandae kubadilisha mfumo wa maisha kutoka uraiyani kwenda kifungoni