Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Wengi wenu kama siyo wote ni wanachama wa TLS lkn labda msichokifahamu ni tls imetekwa na inatumiwa na wachache kwa manufaa yao binafsi na siyo yenu, watu wa immma &Co. wanaitumia tls kupigania maslahi yao nje na ndani ya nchi lkn wanawatumia ninyi kama Wanachama, lkn hakuna kitu mtapata, na kama mnabisha hili nitajieni tu kitu kimoja ambacho tls chini ya Tundu Lisu na sasa F.Karume imekifanya au kupigania kwa manufaa yenu ninyi Wanasheria milioko Mikoani, jibu ni hakuna.
Lkn wanahitaji uwepo wenu ili wawe na namba na wakienda huko kwa Muzungu kupigania maslahi yao wanatumia neno tls, amkeni na fanyeni Mapinduzi chukueni tls yenu, ...
Lkn wanahitaji uwepo wenu ili wawe na namba na wakienda huko kwa Muzungu kupigania maslahi yao wanatumia neno tls, amkeni na fanyeni Mapinduzi chukueni tls yenu, ...