Wanasheria naomba msaada jinsi ya kuishtaki CCM na Serikali yake

VIVIANET

JF-Expert Member
Aug 30, 2015
2,129
2,918
Ndugu zangu watanzania hasa wanasheria wenye uchungu na nchi yetu, naomba msaada wenu utakao nisaidia kuishtaki ccm na serikali yake kwa kutuibia wananchi na kutusababishia umaskini mkubwa kama siyo ufukara.

Nahisi uchungu mwingi sana kutokana na mateso ndugu zetu wanayopata kutokana na wizi huu mkubwa ambao umekuwa ukifanywa na ccm pamoja na serikali yake wakisaidiwa na vyombo vyetu vya dola.

Kesho asubuhi naondoka hapa Peoria Illinois kuelekea Buffalo NY kukutana na mwanasheria mmoja mzuri wa kimarekeni ambeye ameonyesha moyo wa kutusaida sisi vijana wa Kitanzania tunaohangaika vyuoni, huku tukifanya kazi masaa mengi hata wakati wa snow ili mradi tupate pesa za kuweza kujikimu, huku ccm na serikali yake ikiwaruhusu wezi kutorosha mali zetu.

Rais kama kweli una nia ya dhati acha naomba uwaache huru watu wajadili hizo sheria kwa uhuru wote bila kutoa mwanya kwa hao majizi ya ccm yaliopitisha miswada kwa mbwembwe tena kwa lazima.

Pia peleka muswada wa katiba mpya iliyokwama bungeni ili tupate fursa ya kukamilisha mchakato na kuondoa kinga ili wahusika wote wa wajibishwe bila kujali vyama vyao bali historia iwahukumu wote.

Nahitaji msaada wa kisheria
 
Kama MACK ZUCKERBERG na BILL GATES wao Wali DROPOUT pale HAVARD UNIVERSITY..
ANDREW CHENGE yeye alikaza mpaka aka GRADUATE pale ..
Mnategemea WABONGO mtaenda nae sawa.?
 
Ndugu zangu watanzania hasa wanasheria wenye uchungu na nchi yetu, naomba msaada wenu utakao nisaidia kuishtaki ccm na serikali yake kwa kutuibia wananchi na kutusababishia umaskini mkubwa kama siyo ufukara.

Nahisi uchungu mwingi sana kutokana na mateso ndugu zetu wanayopata kutokana na wizi huu mkubwa ambao umekuwa ukifanywa na ccm pamoja na serikali yake wakisaidiwa na vyombo vyetu vya dola.

Kesho asubuhi naondoka hapa Peoria Illinois kuelekea Buffalo NY kukutana na mwanasheria mmoja mzuri wa kimarekeni ambeye ameonyesha moyo wa kutusaida sisi vijana wa Kitanzania tunaohangaika vyuoni, huku tukifanya kazi masaa mengi hata wakati wa snow ili mradi tupate pesa za kuweza kujikimu, huku ccm na serikali yake ikiwaruhusu wezi kutorosha mali zetu.

Rais kama kweli una nia ya dhati acha naomba uwaache huru watu wajadili hizo sheria kwa uhuru wote bila kutoa mwanya kwa hao majizi ya ccm yaliopitisha miswada kwa mbwembwe tena kwa lazima.

Pia peleka muswada wa katiba mpya iliyokwama bungeni ili tupate fursa ya kukamilisha mchakato na kuondoa kinga ili wahusika wote wa wajibishwe bila kujali vyama vyao bali historia iwahukumu wote.

Nahitaji msaada wa kisheria

Washtaki tu tutakuunga mkono
 
Ndugu zangu watanzania hasa wanasheria wenye uchungu na nchi yetu, naomba msaada wenu utakao nisaidia kuishtaki ccm na serikali yake kwa kutuibia wananchi na kutusababishia umaskini mkubwa kama siyo ufukara.

Nahisi uchungu mwingi sana kutokana na mateso ndugu zetu wanayopata kutokana na wizi huu mkubwa ambao umekuwa ukifanywa na ccm pamoja na serikali yake wakisaidiwa na vyombo vyetu vya dola.

Kesho asubuhi naondoka hapa Peoria Illinois kuelekea Buffalo NY kukutana na mwanasheria mmoja mzuri wa kimarekeni ambeye ameonyesha moyo wa kutusaida sisi vijana wa Kitanzania tunaohangaika vyuoni, huku tukifanya kazi masaa mengi hata wakati wa snow ili mradi tupate pesa za kuweza kujikimu, huku ccm na serikali yake ikiwaruhusu wezi kutorosha mali zetu.

Rais kama kweli una nia ya dhati acha naomba uwaache huru watu wajadili hizo sheria kwa uhuru wote bila kutoa mwanya kwa hao majizi ya ccm yaliopitisha miswada kwa mbwembwe tena kwa lazima.

Pia peleka muswada wa katiba mpya iliyokwama bungeni ili tupate fursa ya kukamilisha mchakato na kuondoa kinga ili wahusika wote wa wajibishwe bila kujali vyama vyao bali historia iwahukumu wote.

Nahitaji msaada wa kisheria
Nynyi ndo mkirudi huku mnakuja kuingia mikataba feki

Serikal inawafundisha kwa kuamin wanapata wataalam wenye uzalendo kumbe hakuna chochote

Bora muhangaike ivyo ivyo
 
Kama MACK ZUCKERBERG na BILL GATES wao Wali DROPOUT pale HAVARD UNIVERSITY..
ANDREW CHENGE yeye alikaza mpaka aka GRADUATE pale ..
Mnategemea WABONGO mtaenda nae sawa.?
Chenge hakufanya undergraduate course harvard. degree ya sheria alifanya udsm na masters akaifanyia harvard. Hiyo ndo rekodi sahihi
 
Guys I am very serious, tunapata kila aina ya mateso hapa USA huku nchi yetu ikitajirisha mataifa mengine.

JPM was there when ccm were consuming and corrupting our country, he is not coming from heaven today.
Najuwa uko seriuos, hata Magufuli yuko seriuos ndo maana alitangaza mapema kwamba serikali ya Magufuli. Kwa sasa hakuna serikali ya CCM. Labda uishtaki ilani ya CCM ila serikali haipo. Kuna watu 4 tu walikuwa serikali ya CCM. Kasema wote washughulikiwe kamsamehe marehemu Kigoda tu. Labda huko USA habari hazikufika wakati wa kampeni. Kwa sasa labda tuwashtaki mahakimu,vyombo vya dola ambavyo havitatekeleza agizo la rais.
 
Nynyi ndo mkirudi huku mnakuja kuingia mikataba feki

Serikal inawafundisha kwa kuamin wanapata wataalam wenye uzalendo kumbe hakuna chochote

Bora muhangaike ivyo ivyo


Kama ungelitafakari usingelisema hivyo, sisi hatujaletwa na serikali tumejileta wenyewe, walioletwa na serikali ni watoto wa wakubwa wamejazana Texas kulewa tu. Pia kumbuka nilishajiapiza siwezi kufanya kazi na serikali ya ccm bora nibaki huku maana kila mtu anayetetea maslahi ya taifa anaonekana adui kwa serikali ya ccm
 
Ndugu zangu watanzania hasa wanasheria wenye uchungu na nchi yetu, naomba msaada wenu utakao nisaidia kuishtaki ccm na serikali yake kwa kutuibia wananchi na kutusababishia umaskini mkubwa kama siyo ufukara.

Nahisi uchungu mwingi sana kutokana na mateso ndugu zetu wanayopata kutokana na wizi huu mkubwa ambao umekuwa ukifanywa na ccm pamoja na serikali yake wakisaidiwa na vyombo vyetu vya dola.

Kesho asubuhi naondoka hapa Peoria Illinois kuelekea Buffalo NY kukutana na mwanasheria mmoja mzuri wa kimarekeni ambeye ameonyesha moyo wa kutusaida sisi vijana wa Kitanzania tunaohangaika vyuoni, huku tukifanya kazi masaa mengi hata wakati wa snow ili mradi tupate pesa za kuweza kujikimu, huku ccm na serikali yake ikiwaruhusu wezi kutorosha mali zetu.

Rais kama kweli una nia ya dhati acha naomba uwaache huru watu wajadili hizo sheria kwa uhuru wote bila kutoa mwanya kwa hao majizi ya ccm yaliopitisha miswada kwa mbwembwe tena kwa lazima.

Pia peleka muswada wa katiba mpya iliyokwama bungeni ili tupate fursa ya kukamilisha mchakato na kuondoa kinga ili wahusika wote wa wajibishwe bila kujali vyama vyao bali historia iwahukumu wote.

Nahitaji msaada wa kisheria
Kiboksi cha kura ndiyo sauti yako
 
Back
Top Bottom