Wanasheria CHADEMA: Mbowe hatakwenda polisi

Wanasheria CHADEMA: Mbowe hatakwenda polisi

Eti polisi wangewapigia mawakili wa CHAMA.Hivi LISSU anajua sheria huyu? Hilo kosa alilofanya mbowe la madawa ya kulevya ni la kichama hadi chama kihusishwe na mawakili wa chama wahusishwe? KOSA LA KIBINAFSI WANAGEUZA LA KICHAMA.huyu ndio LISU MGOMBEA URAISI WA TLS!!!!!!!!!!! asiyejua kipi cha kichama na kipi cha kibinafsi
UNAWEZA KUMTENGA MAGUFULI NA CCM? AU UNAWEZA KUMTENGA MAGUFULI NA SERIKALI?
 
Mimi nadha ziro kama mjanja amkamate mbowe ila nina uhakika lissu anakwenda kushinda uchaguzi wake ndo watamjua!!!
 
Back
Top Bottom