Wanasema maneno huumba

Wanasema maneno huumba

Huu ni ukweli kabisa zamani nilikua najinenea mara kwa mara kwamba nitakua rais wa Tanzania na kweli ikawa kama nilivyokua najinenea.... Kuna rafiki zangu walijinenea watakua marubani na kweli kwenye kundi letu walipatikana marubani 7😁😁

Jinenee utajiri mkuu utashangaa unampita hadi bakhresa
Habari yako Samiya.
 
Mimi niliamin hii baada ya kujaribu kujiua ingawaje nilipona

Ila hapo kabla nilipenda sana kusema na kuwazia jambo la kukatisha uhai,kweli bhana siku moja nikafanya hicho kitendo mpaka leo huwa sielew niliponaje wakat nilikunywa sumu ambayo iliwah uwa watu wengine
 
Poleni na Mapambano, wakuu

👉Kuna msemo mmoja unasema, mdomo huuumba watu wanasema ukijinenea mazuri basi utapata mazuri ukijinenea mabaya basi utapata mabaya

"Basi kuanzia Leo na mimi najinenea mimi bolotoba ipo siku nitamiliki zaidi ya Bilion moja kwenye account"


👉Martin Luther alinena "one day whites and blacks will shake hands" na kweli imetokea
👉Prof Jay alijitabiria kwenye nyimbo zake atakuwa wanasiasa na kweli akawa sikiliza nyimbo "ndio mzee"
👉Kanumba alisema hatooa na kweli alikufa bila kuoa
👉Nyerere alisema "mpinzani wa kweli atatoka chama Cha mapinduzi na kweli wapinzani wa kweli tu nawaona"Mh. Mpina"
👉Mama yangu mzazi alinambia "usichelewe kuoa ili nione wajukuu" sijaoa hadi leo alikufa bila kuwaona wajukuu
👉Makonda alimnenea mama Samia "ikiwezekana mama siku moja uje kuwa rais wa kwanza mwanamke 2014 hiyo"

Kinachonichanganya kwanini mtu akijinenea mabaya kuna asilimia kubwa ya
naweza kutokea? Tofauti na kunena mazuri 🤔⁉️

Tajiri Sina BAYA Monetary doctor makutupora Fanton
[/QUOTE]
[QUOTE="Bolotoba, post: 53574821, member: 751429"]
Poleni na Mapambano, wakuu

👉Kuna msemo mmoja unasema, mdomo huuumba watu wanasema ukijinenea mazuri basi utapata mazuri ukijinenea mabaya basi utapata mabaya

"Basi kuanzia Leo na mimi najinenea mimi bolotoba ipo siku nitamiliki zaidi ya Bilion moja kwenye account"


👉Martin Luther alinena "one day whites and blacks will shake hands" na kweli imetokea
👉Prof Jay alijitabiria kwenye nyimbo zake atakuwa wanasiasa na kweli akawa sikiliza nyimbo "ndio mzee"
👉Kanumba alisema hatooa na kweli alikufa bila kuoa
👉Nyerere alisema "mpinzani wa kweli atatoka chama Cha mapinduzi na kweli wapinzani wa kweli tu nawaona"Mh. Mpina"
👉Mama yangu mzazi alinambia "usichelewe kuoa ili nione wajukuu" sijaoa hadi leo alikufa bila kuwaona wajukuu
👉Makonda alimnenea mama Samia "ikiwezekana mama siku moja uje kuwa rais wa kwanza mwanamke 2014 hiyo"

Kinachonichanganya kwanini mtu akijinenea mabaya kuna asilimia kubwa ya
naweza kutokea? Tofauti na kunena mazuri 🤔⁉️

[USER=791651]Tajiri Sina BAYA
Monetary doctor makutupora Fanton Mahal
Ujachelewa mzee, mafanikio hayana umri. DHAMIRA + VITENDO.
 
Poleni na Mapambano, wakuu

👉Kuna msemo mmoja unasema, mdomo huuumba watu wanasema ukijinenea mazuri basi utapata mazuri ukijinenea mabaya basi utapata mabaya

"Basi kuanzia Leo na mimi najinenea mimi bolotoba ipo siku nitamiliki zaidi ya Bilion moja kwenye account"


👉Martin Luther alinena "one day whites and blacks will shake hands" na kweli imetokea
👉Prof Jay alijitabiria kwenye nyimbo zake atakuwa wanasiasa na kweli akawa sikiliza nyimbo "ndio mzee"
👉Kanumba alisema hatooa na kweli alikufa bila kuoa
👉Nyerere alisema "mpinzani wa kweli atatoka chama Cha mapinduzi na kweli wapinzani wa kweli tu nawaona"Mh. Mpina"
👉Mama yangu mzazi alinambia "usichelewe kuoa ili nione wajukuu" sijaoa hadi leo alikufa bila kuwaona wajukuu
👉Makonda alimnenea mama Samia "ikiwezekana mama siku moja uje kuwa rais wa kwanza mwanamke 2014 hiyo"

Kinachonichanganya kwanini mtu akijinenea mabaya kuna asilimia kubwa ya
naweza kutokea? Tofauti na kunena mazuri 🤔⁉️

Tajiri Sina BAYA Monetary doctor makutupora Fanton Mahal
Bora umebaini hilo. Ni kweli, maneno ni VITU!

Hata Mary Todd alipokuwa angalia binti, alimwambia baba yake kuwa ni lazima siku moja aje kuwa mke wa Rais wa Marekani. Na kweli, baadaye alipompata mchumba aliyekuwa mwanasiasa, baba yake alipata matumaini kuwa huenda ndoto za bintiye kuwa first lady wa USA zitakuja kutimia. Lakini huo uchumba haukudumu. Ulipovunjika, mzee alikata tamaa ya kumpata mkwe mwenye ndoto ya Urais.

Maisha yaliendelea, na Mary akaolewa na kijana wa kawaida tu, Abraham Lincoln. Kipindi hicho haikutarajiiwa kuwa angekuja kuwa Rais wa Marekani. Lakini kwa kuwa Mary Todd Lincoln alikuwa amejinenea kuwa atakuja kuwa FIRST LADY wa USA, maneno yake yaliishia kuwa utabiri wake binafsi.

Ni kweli! Maneno yanaumba! Kuwa makini.
 
Vipi ana chuchu sasita
Sijui ila kwa mbaaali nahisi kama mshangazi hivii, ni yule avatar yake kaweka miguu miwili myeupe imevaa viatu vyeusi.
Screenshot_20250425_193040.jpg
 
Back
Top Bottom