Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,053
- 95,605
Kiasi si una jua majukumu ya hapa na pale, so nili potea kidogo.Kaka chama letu kama limepoa hivi?
Kiasi si una jua majukumu ya hapa na pale, so nili potea kidogo.Kaka chama letu kama limepoa hivi?
Usi fananishe kikombe Cha oyster bay na mtungi wa mbagala shekhe.Bas duniani wawili wawili
Uki kaa sawa, hit my pm.Nilipotea kidogo mkali
Sawa mkuuUki kaa sawa, hit my pm.
Mbege Ina singiziwa mengi 😁😁Waliyaongea haya wakiwa tayar wana % kadhaa za mchakato kuanza. Tayar kulikua na background moves, hawakusema wakiwa wamekaa tu. They were in it already. They had plans, strategies and they kept staying on a focused purpose.
Hayakua maneno matupu. Yalikua na vitendo. Ndio maana unaona ni manemo machache tu. Ila mipngo ilikua mingi.
Hivyo na wewe usiseme tu huku umenyoosha miguu unakunywa mbege. My brother, maneno bila mipango na utendaji, are just empty words, and universe will ignore them ,hence never will manifest.
Ongea kisha NENDA KAKAZE
Haya bn Lubinza nimekuelewaUsi fananishe kikombe Cha oyster bay na mtungi wa mbagala shekhe.
Wao wanaombea Israel badala ya kujiombea wenyewe kwanza 😂Mhm kila siku walokole wanasema wanapokea gari mbona bado wanapuyanga tu ?
Sijapenda asilani mbege kusemwa vibaya 😂Mbege Ina singiziwa mengi 😁😁
Israel yenyewe imejaaa mapapai kinoumaWao wanaombea Israel badala ya kujiombea wenyewe kwanza 😂
Kwema bruh?Kwanini Joh
sawa bin kashegere manyongoroHaya bn Lubinza nimekuelewa
Kumbe sio ulaya 🤔..... Kuna mambo yanafikirisha na kusikitishaIsrael yenyewe imejaaa mapapai kinouma
Kwema kabisaKwema bruh?
Ili jambo tuwaachie watabiriPoleni na Mapambano, wakuu
👉Kuna msemo mmoja unasema, mdomo huuumba watu wanasema ukijinenea mazuri basi utapata mazuri ukijinenea mabaya basi utapata mabaya
"Basi kuanzia Leo na mimi najinenea mimi bolotoba ipo siku nitamiliki zaidi ya Bilion moja kwenye account"
👉Martin Luther alinena "one day whites and blacks will shake hands" na kweli imetokea
👉Prof Jay alijitabiria kwenye nyimbo zake atakuwa wanasiasa na kweli akawa sikiliza nyimbo "ndio mzee"
👉Kanumba alisema hatooa na kweli alikufa bila kuoa
👉Nyerere alisema "mpinzani wa kweli atatoka chama Cha mapinduzi na kweli wapinzani wa kweli tu nawaona"Mh. Mpina"
👉Mama yangu mzazi alinambia "usichelewe kuoa ili nione wajukuu" sijaoa hadi leo alikufa bila kuwaona wajukuu
👉Makonda alimnenea mama Samia "ikiwezekana mama siku moja uje kuwa rais wa kwanza mwanamke 2014 hiyo"
Kinachonichanganya kwanini mtu akijinenea mabaya kuna asilimia kubwa ya
naweza kutokea? Tofauti na kunena mazuri 🤔⁉️
Tajiri Sina BAYA Monetary doctor makutupora Fanton Mahal
Naitwa sheikh Izudeen Banadeersawa bin kashegere manyongoro
Umeongea maneno mazito sana, thumb up 👍Waliyaongea haya wakiwa tayar wana % kadhaa za mchakato kuanza. Tayar kulikua na background moves, hawakusema wakiwa wamekaa tu. They were in it already. They had plans, strategies and they kept staying on a focused purpose.
Hayakua maneno matupu. Yalikua na vitendo. Ndio maana unaona ni manemo machache tu. Ila mipngo ilikua mingi.
Hivyo na wewe usiseme tu huku umenyoosha miguu unakunywa mbege. My brother, maneno bila mipango na utendaji, are just empty words, and universe will ignore them ,hence never will manifest.
Ongea kisha NENDA KAKAZE
Ww ni mtu wa Imani. Au ww sio?Lakini waswaheli wanasema MANENO MATUPU HAYAVUNJI MFUPA
Acha kuharibu jina lakiz wewe ni izugambinti baleleNaitwa sheikh Izudeen Banadeer
A.K.A wazurulaji.Mimi sio yeye, mimi ni raisi wa Chama Cha ma jobless pro max