Angeanza babu yetu Adam kwanza kwa kosa la Eve kula tunda. Hivi viumbe vina nguvu ya shetani🤣"Ishini na wake zenu kwa akili."
-Biblia
Hii dunia ngumu sanaBaada ya kuwalea wanae kwa miaka mitatu, Abdul Juma anagundua vyeti vyao vimeandikwa jina la baba mwingine.
Watoto walitelekezwa na mama yao katika nyumba ya kulala wageni.
View attachment 2433645
Mapenzi yalishindikana tangu Edej wewe ndio utayaweza na jua lote hili?Angeanza babu yetu Adam kwanza kwa kosa la Eve kula tunda. Hivi viumbe vina nguvu ya shetani🤣
Kuna kitu hatujaambuwa."Ishini na wake zenu kwa akili."
-Biblia
Mbona nyie mnazaa nje na sisi tunawalelea tu.Kama inawezekana abadili vyeti vyao, ingawa inaumiza kulea mtoto ambaye unajua umebambikiwa.
Njaa zenu ndio zinawafanya mkubali huo ujinga.Mbona nyie mnazaa nje na sisi tunawalelea tu.
vyema ukaacha kuwa na wazo la kuishi nao!UTAKUWA SALAMASijui tutumie akili gani ili tuishi nao kwa akili
Maana hawana akili hawa watu