Wanapotisha budget kwa style hii

Wanapotisha budget kwa style hii

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,092
Reaction score
53,568
ImageUploadedByJamiiForums1432187192.721672.jpg
 
Inasikitisha mno,kila mbunge yupo jimboni kwake kudanganya wadanganyika....
 
Ingefaa tupate takwimu za mahudhurio na michango ya wabhnge humo ndan..... Ili aakija vijjn mwez wa 10 tupate pa kuwakamatia
 
Hahahhaa Wabunge wa CCM wamechoka kutetea wasiyoweza kuyatetea, wamekimbilia majimboni! Juzi kati hapa walikau wakiaga Bunge na kuwaomba wananchi wawapokee tena hapo October
 
Hahahhaa Wabunge wa CCM wamechoka kutetea wasiyoweza kuyatetea, wamekimbilia majimboni! Juzi kati hapa walikau wakiaga Bunge na kuwaomba wananchi wawapokee tena hapo October

Huyo hapo naona anaongea kama chizi vile. Unawezaje kuongea peke yako bungeni?
 
Ingefaa tupate takwimu za mahudhurio na michango ya wabhnge humo ndan..... Ili aakija vijjn mwez wa 10 tupate pa kuwakamatia

Komaa na mbunge wako. Mi najua Mnyika ananiwakilisha vema bungeni.
 
Back
Top Bottom