kiukweli hili swala hata mimi lina nikela sana.
tatizo watu baadhi ya madereva hawajui matumizi ya taa. Kuna hizi taa nyeupe ndio zinaumiza balaa yani kama ulikuwa kwenye kona mkatana na yupo full light anakupoteza kabisa...
KWA MIMI nafikiri kutembea full light sio kosa ila inshu je hiyo full light unaitumia sahihi?
na hili huwa lina tunatokea sana sans kwa waendeshaji magari magodo, wengi wana shidwa kutumia hizii taa na baadhi hata ukimwonyesha ishara ya kuwa apunguze hapunguzi.
HAKIKA INAKELA