iJamii
JF-Expert Member
- Jan 19, 2015
- 1,960
- 1,498
Boss umeongea point ya maana sana ambayo wengi hawaifikiri hiiWee unadhani TISS wanafanya kazi na ccm tu????
Waliotoa hizo secret Info we unadhani ni raia wa kawaida????
Usalama wanafanya hivyo kwa maslai mapama ya nchi.... Huo ndio uzalendo nchi ikija kutaifishwa kwa madeni ya kizembe nani atakae laumiwa?? Serikali, jeshi la polisi, jwtz au usalama nani atakae laumiwa???
Sent using Jamii Forums mobile app