Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Mikutano mingi ya Chama cha Mapinduzi inapomalizika eneo la tukio watu wenye uniform za chama upotea au kuzibadilisha na hivyo kutoonekana wakiwa wamezivaa kurejea makwao.
Miaka ya nyuma mtaani watu walikua wanaona fahari kuzivaa kuanzia bodaboda, mama ntilie, wajumbe na watu wengine. Ilikuwa sawa na mchuano wa Simba na yanga panapotoa droo ambapo kila mmoja uvaa jezi kwenda nayo hata bar au maskani.
Ni kweli kwamba Hawa wanaovaa hizi nguo wanavaa kwakuzipenda au wanavalishwa? Kama wanavalishwa kwanini wanaowavalisha wasiwape masharti ya kwenda nazo nyumbani bila kuzivua?
Hata bodaboda wenye bendera au hata kofia mtaani ambao ni wana CCM wanakosekana? Afadhali vyama vingine ambavyo wapenzi wao watasema wanawindwa na dola, CCM kwanini mmekosa imani na nguo zenu?
Mtu kama anaogopa kuvaa jezi mtaani kwake unamtenganishaje na msaliti? LIPO TATIZO SEHEMU, TULIKOSEA
Miaka ya nyuma mtaani watu walikua wanaona fahari kuzivaa kuanzia bodaboda, mama ntilie, wajumbe na watu wengine. Ilikuwa sawa na mchuano wa Simba na yanga panapotoa droo ambapo kila mmoja uvaa jezi kwenda nayo hata bar au maskani.
Ni kweli kwamba Hawa wanaovaa hizi nguo wanavaa kwakuzipenda au wanavalishwa? Kama wanavalishwa kwanini wanaowavalisha wasiwape masharti ya kwenda nazo nyumbani bila kuzivua?
Hata bodaboda wenye bendera au hata kofia mtaani ambao ni wana CCM wanakosekana? Afadhali vyama vingine ambavyo wapenzi wao watasema wanawindwa na dola, CCM kwanini mmekosa imani na nguo zenu?
Mtu kama anaogopa kuvaa jezi mtaani kwake unamtenganishaje na msaliti? LIPO TATIZO SEHEMU, TULIKOSEA