Nataka niulize swali dogo tu wakuu!!
Ninachojua ni kwamba CTV wameshaunga ile internet cable ya seacom Ya chini ya maji sasa CTV iko fasta kichizi!!! uki watch video youtube ya 1 hour 30 min it doesnt stop it continuosly plays!! its really highspeeed!!
Sasa nauliza kuna uwezekano wowote wa BOL ya dar es Salaam (Bensons Online) kuweka hizo,Ili speed iongezeke??
Ninachojua ni kwamba CTV wameshaunga ile internet cable ya seacom Ya chini ya maji sasa CTV iko fasta kichizi!!! uki watch video youtube ya 1 hour 30 min it doesnt stop it continuosly plays!! its really highspeeed!!
Sasa nauliza kuna uwezekano wowote wa BOL ya dar es Salaam (Bensons Online) kuweka hizo,Ili speed iongezeke??