mwanaMtata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2014
- 2,393
- 1,433
Jaman wadau,kila mtu anauelewa wake na kila mtu ana mtazamo wake.Nashukuru Mungu maneno ya wengi si sheria kwani watu wangekufa maskini jamani.
Nashukuru wana JF tangu nimeanza kuuza account za IG leo nimetimiza account tano ���� (Kumbuka) Usidharau afanyacho mtu kwa kua kwako hakina maana, ukitupacho wewe kisa kimeoza kwa "Inzi" ni Dhahabu}
Nashukuru wana JF tangu nimeanza kuuza account za IG leo nimetimiza account tano ���� (Kumbuka) Usidharau afanyacho mtu kwa kua kwako hakina maana, ukitupacho wewe kisa kimeoza kwa "Inzi" ni Dhahabu}